Ni suala la muda tu,ndipo watu watajua kwamba Arusha hawana mbunge,na tatizo la viongozi wakuu wa chadema ni wabinafsi wanaangalia kwamba watawezaje kukamata madaraka ya nchi kwa style yeyote,ndo maana ndani ya chadema hautaona hata cku moja watu aina ya wakina Lema wakaonekana wana makosa,kisa ni influence aliyonayo kwa vijana wake wa Arusha,na hili ndilo la kujiuliza kwamba kama chama ata unye hadharani as longer Una credit kwa chama kukisaidia kuingia madarakani basi wewe watakusifia tu,lakini uwe wenzangu na mimi wakina kafulila kipindi kile kabka hajaea mbunge,au wakina Shonza na mwalimu Mwapamba,lazima wakutoe kafara,ndo maana hata wakina Zitto kwa asivyotakiwa ndani ya chadema kwa sasa bas inabid kuvumiliana,kwa mantiki hiyo CDM wapo kimaslahi zaid,wakisukumwa na ndoto za urais kwa padri na ndoto za PM kwa Mbowe.But in general hakuna chama pale,Kuna wahuni tu.