Mh dunia imeisha.

Kimbia ufe!!!hapo ni virusi plus plus,starehe ya dk chache is not worth it...
 
cha cha cha cha mbona napata kigugumizi chapa mzigio kiusalama lakini nyama ya ng'mbe ni ng'ombe.
 
...una yako wewe!!!
Jamani wiki ya pili sasa tangu nikutwe na mkumbo huu mh huwezi amini mtaani kwetu kuna sugar mamy linanitaka je kuna shida nikitoka nalo naombeni ma advice nini.
 
poa tu mwaya !za home?kazi?pole na mihangaiko kibao,karibu tubarizi kidogo humu baada kuingia jikoni kuaandaa dinner!

jamani, nisamehe mpendwa wangu..nililala..lol nahisi dinner iliungua. Za kazi nzuri tu.
 
dada umetoa ushauri mzuri kweli yaani inareflect na jinsi wewe ulivyo, in short dogo tumia kondomu kula mzigo fasta ila asikung'ang'anie kitu na roho yako bana hizo bahati huwa tunazitafuta sana sisi watoto wa uswahilini
 
Nipe namba yake kijana nitoke nalo mzee mwenzie nyie vijana endeleeni na watoto wenzenu wabichi kabisa
HA HA HA HA umenifarahisha mkuu naona unataka kumpora kijana ng'ombe wke,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…