Mh. Dr. Mwakyembe ushauri huu muhimu

Mh. Dr. Mwakyembe ushauri huu muhimu

Mkuu sijakata tamaa. Nataka tupate mbinu bora kabisa ya kuweka mambo sawa ambayo inaweza ikawa na ufanisi mkubwa. Hata askari wanapopigana, kuna muda hupeleka mashambulizi lakini wakiona mbinu haijakaa sawa wanarudi nyuma kidogo halafu wakija sasa usiombee kichapo chake.pia wanaweza wakatumia mbinu ya kuzunguka na kuzingira kabla ya kushambulia.Sio woga ni mbinu mkuu.

Wewe unafikiri Dr. Mwakyembe halijui hilo? Atakuwa amejiandaa kupambana kweli kweli. Kwa kutumia PhD yake na uzoefu wake kazini, namini atakuwa na mbinu nzuri tu ambazo zitaleta ushindi. Uovu hata kama una nguvu kiasi gani, ni lazima upingwe!
 
He knows for sure that the entire goverment system is not supportive on what he is doing, but still he has stepped forward to try his lucky.
Like David against Goliath he has emerged and dared to fight against these evil and wicked people who enrich themselves on the risk of other peoples lives.Only God can help him conquer the war.
And I think that, It is better to die in the war zone while fighting rather than hiding somewhere cowardly. Mwekyembe, Big up!
 
Kufanya kazi na mtu/uongozi usiokuwa na imani nao ni busara kujiuzulu(kuachia ngazi) ili uonesha kuwa huna imani na serikal yako na kuonesha m,simamo wako!

Kuonyesha msimamo ni kuendelea kutekeleza kile unachokiamini, kujiuzulu ni kukubali machafu uliyoyaona yamekushinda. Mimi nafikiri nyinyi mnaoshauri ajiuzulu mtakuwa mnaguswa katika masilahi yenu (directly AMA indirectly). Mtatafuta sana pa kupumulia, mwakyembe harudi nyuma. Angalau ni pekee kati ya viongozi aw ccm anayethubutu. Bila kuthubutu tutavuna mabua kwa kuchekacheka na nyani. Kukosekana kwa uthubutu huu ndiko kumelifikisha taifa hapa lilipo. Uozo kila kona bila hatua za masahihisho wala adhabu. Kwa MTINDO tulionao sasa taifa ni linapumulia machine.

Uzembe kazini, wizi, ucheleweshaji wa sgughuli mbalimbali kisa ten percent, rushwa, nk ni matokeo ya viongozi tulionao kushindwa kudhubutu. Hata Kama atashindwa vita hii, record zake zitabaki, kuwa, alithubutu, alipigana ingawa alishindwa vita. Watakaofuata nyayo zake wataanzia pale alipoishia.

Mnaoleta Propaganda ya kujiuzulu kuna dalili mmeguswa! Tafuteni biashara nyingine.
 
Wanalijua hilo soo kitambo sana.
Hawa maharamia huwa hawaweki pesa benki <<Nadhani umeona picha ya Agness 'Masogange' Gerald>>. Huwa wanawekeza katika majengo na magari. Hawaweki benki kwa sbb ni rahisi sana kuwa tracked.

Basi tutaifishe majumba, magari na hata wake zao au waume zao.
 
Back
Top Bottom