Waziri Doto Biteko na utulivu kwenye siasa zake

Jack Daniel

JF-Expert Member
Sep 23, 2021
2,169
10,464
Siasa za dijitali, siasa za mitandaoni, siasa za Instagram, siasa za uchawa.

Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya nchi.

Makonda ni moja ya viongozi wachapakazi sana ila tatizo lake ni moja Kila anachokifanya anataka Dunia nzima ijue. Kwangu huu nauita ni ulimbukeni na ushamba.

Humphrey Polepole miongoni mwa waliomkubali na kukubalika na hayati Magufuli naye ni wale wenye siasa za kupenda kuonekana mbele, yaani wao kwanza kuliko maslahi ya taifa.

Shaka Hamdu Shaka
Huyu Naye alikuja na Kasi fulani hivi wao hutaka waitwe wachapakazi lakini ukweli ni kujiweka front ili tu kuongeza curriculum vitae kwa masilahi yao.

Lengai Sabaya
Huyu nisiongee sana wengi wanajua, umri wake tu ulionesha namna alivyomjinga kwa kutaka engagement kubwa kwa kuumiza baadhi ya raia wake kwa kisingizio chake cha kutanguliza masilahi ya nchi.

Wengine ni Albert Chalamila homeboy, Kenan kihongosi, Ally Hapi,
Ni wachapakazi haswa ila tatizo hawana utulivu.

Wapo wengi wanaojiita machawa wenye vyeo na wasio na vyeo jambo ambalo huenda serikali ni kama imebariki.

Pamoja na yote hayo wapo vijana wengi tu Wana siasa nzuri sana miongoni mwa hao ni Dotto Biteko.

Alionekana ni sukumagang kwa mujibu wa mgawanyo kwenye chama cha mapinduzi, alitabiriwa kushindwa au kuachwa kwenye hii serikali ya mama lakini bado kijana anadunda.

Utulivu wake, kufanya kazi kwenye eneo lake bila kujipendekeza, kumefanya afike alipo, ni naibu waziri mkuu ,pia ni waziri wa nishati.

Yanazungumzwa mengi kwamba huenda nafasi alizopewa ni mtego lakini ukweli huyu ni hazina kubwa kwenye hii nchi. Nina Imani naye huyu jamaa.

NB; hakuna binadamu aliyekamilika, jamaa ana mapungufu yake kama ilivyo kwa yeyote yule.
 
Dotto kaandaliwa ili kupata kura za wasukuma na kuungwa mkono na hilo kundi.

Humbleness ya Kiongozi huwa ni hekima yake kuhusu watu na sio kuhusu cheo na madaraka.


Baada ya uchaguzi mkuu , Bashungwa huyu Jamaa no anaenda kuwa Waziri mkuu na cheo cha naibu Waziri mkuu kitakufa rasmi.

Biteko yupo kuandaa uungwaji mkono Wa wasukuma.
 
Siasa za dijitali ,siasa za mitandaoni,siasa za Instagram.siasa za uchawa.

Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya nchi.

Makonda ni moja ya viongozi wachapakazi sana ila tatizo lake ni moja Kila anachokifanya anataka Dunia nzima ijue.
Kwangu huu nauita ni ulimbukeni na ushamba.

Humphrey Polepole miongoni mwa waliomkubali na kukubalika na hayati Magufuli naye ni wale wenye siasa za kupenda kuonekana mbele , yaani wao kwanza kuliko maslahi ya taifa.

Shaka Hamdu Shaka
Huyu Naye alikuja na Kasi fulani hivi wao hutaka waitwe wachapakazi lakini ukweli ni kujiweka front ili tu kuongeza curriculum vitae kwa masilahi yao.

Lengai Sabaya
Huyu nisiongee sana wengi wanajua,umri wake tu ulionesha namna alivyomjinga kwa kutaka engagement kubwa kwa kuumiza baadhi ya raia wake kwa kisingizio chake cha kutanguliza masilahi ya nchi.
Wengine ni

Albert Chalamila homeboy
Kenan kihongosi
Ally Hapi,
Ni wachapakazi haswa ila tatizo hawana utulivu

Wapo wengi wanaojiita machawa wenye vyeo na wasio na vyeo jambo ambalo huenda serikali ni kama imebariki.

Pamoja na yote hayo wapo vijana wengi tu Wana siasa nzuri sana miongoni mwa hao ni mh: Dotto Biteko.

Alionekana ni sukumagang kwa mujibu wa mgawanyo kwenye chama cha mapinduzi,alitabiriwa kushindwa au kuachwa kwenye hii serikali ya mama lakini bado kijana anadunda.

Utulivu wake,kufanya kazi kwenye eneo lake bila kujipendekeza,kumefanya afike alipo,ni naibu waziri mkuu ,pia ni waziri wa nishati.

Yanazungumzwa mengi kwamba huenda nafasi alizopewa ni mtego lakini ukweli huyu ni hazina kubwa kwenye hii nchi ,Nina Imani naye huyu jamaa.

NB; hakuna binadamu aliyekamilika,jamaa ana mapungufu yake kama ilivyo kwa yeyote yule.
You written a fantastic rubbish

MAKONDA IS THE NEXT LEVEL WETHER YOU LIKE OR NOT
Maneno laini laini huku wananchi wakitaabika ni upumbavu kwa kiongozi yoyote aliekabidhiwa madaraka
 
Dotto kaandaliwa ili kupata kura za wasukuma na kuungwa mkono na hilo kundi.

Humbleness ya Kiongozi huwa ni hekima yake kuhusu watu na sio kuhusu cheo na madaraka.


Baada ya uchaguzi mkuu , Bashungwa huyu Jamaa no anaenda kuwa Waziri mkuu na cheo cha naibu Waziri mkuu kitakufa rasmi.

Biteko yupo kuandaa uungwaji mkono Wa wasukuma.
Hivi Bashungwa mnaamini kabisa kuna kiongozi hapo? Huyo anaweza kuwa mwadilifu ila kwenye uongozi hasa Wizara ya ujenzi hakuna kitu!
 
You written a fantastic rubbish

MAKONDA IS THE NEXT LEVEL WETHER YOU LIKE OR NOT
Maneno laini laini huku wananchi wakitaabika ni upumbavu kwa kiongozi yoyote aliekabidhiwa madaraka
Kutofautiana mtazamo tu mkuu, hatuwezi kufafana kimawazo
 
Wamezoea siasa za maonesho kumbe watu wanapiga mzigo kimya kimya na utendaji wao unaonekana, waziri wa ujenzi Bashungwa nimemkuta yupo wilaya ya kilwa akishughulikia marekebisho ya madaraja yaliyokatika kutokana na athari ya mvua kubwa zilizopita
 
Siasa za dijitali, siasa za mitandaoni, siasa za Instagram, siasa za uchawa.

Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya nchi.

Makonda ni moja ya viongozi wachapakazi sana ila tatizo lake ni moja Kila anachokifanya anataka Dunia nzima ijue. Kwangu huu nauita ni ulimbukeni na ushamba.

Humphrey Polepole miongoni mwa waliomkubali na kukubalika na hayati Magufuli naye ni wale wenye siasa za kupenda kuonekana mbele, yaani wao kwanza kuliko maslahi ya taifa.

Shaka Hamdu Shaka
Huyu Naye alikuja na Kasi fulani hivi wao hutaka waitwe wachapakazi lakini ukweli ni kujiweka front ili tu kuongeza curriculum vitae kwa masilahi yao.

Lengai Sabaya
Huyu nisiongee sana wengi wanajua, umri wake tu ulionesha namna alivyomjinga kwa kutaka engagement kubwa kwa kuumiza baadhi ya raia wake kwa kisingizio chake cha kutanguliza masilahi ya nchi.

Wengine ni Albert Chalamila homeboy, Kenan kihongosi, Ally Hapi,
Ni wachapakazi haswa ila tatizo hawana utulivu.

Wapo wengi wanaojiita machawa wenye vyeo na wasio na vyeo jambo ambalo huenda serikali ni kama imebariki.

Pamoja na yote hayo wapo vijana wengi tu Wana siasa nzuri sana miongoni mwa hao ni Dotto Biteko.

Alionekana ni sukumagang kwa mujibu wa mgawanyo kwenye chama cha mapinduzi, alitabiriwa kushindwa au kuachwa kwenye hii serikali ya mama lakini bado kijana anadunda.

Utulivu wake, kufanya kazi kwenye eneo lake bila kujipendekeza, kumefanya afike alipo, ni naibu waziri mkuu ,pia ni waziri wa nishati.

Yanazungumzwa mengi kwamba huenda nafasi alizopewa ni mtego lakini ukweli huyu ni hazina kubwa kwenye hii nchi. Nina Imani naye huyu jamaa.

NB; hakuna binadamu aliyekamilika, jamaa ana mapungufu yake kama ilivyo kwa yeyote yule.
View attachment 2987389
Anamuiga role model wake Samia.Umewahi sikia au kuona Samia anaropoka au kuendeshwa na mihemko ?
 
Nakubaliana na wewe,jamaa Yuko poa sana
Poa sana ndio nini..utaleta unyenyekevu kwenye jamii imejaa uharamia? mnajua maana ya uongozi kweli watu watakula unyenyekevu wako? uongozi si kufurahisha watu kwa misamiati na busara za kijinga, zamani kiongozi anavalishwa ngozi ya simba, unajua maana yake..simba ni mnyenyekevu? nchi imejaa generation ya watu wavivu wa kufikiri kwa kiwango cha juu sana, endeleeni kuwaza kuwa na viongozi wa aina ya kina Biteko, nchi itaishia kuwa watumwa wa mataifa mengine..
 
Anamuiga role model wake Samia.Umewahi sikia au kuona Samia anaropoka au kuendeshwa na mihemko ?
Huyo Samia asiye ropoka kalifanyia nini Taifa maana kila siku mafuta na usafiri unapanda,Barabara Makorongo kila kona,Mafisadi, kauza Bandari na kufukuza Wananchi Ngorongoro na KIA! Nyamaza tu hujui unaloongea! Hao Viongozi wanaojidai wana Hekima na ujinga ujinga kama huo ndo hawawajibiki na hukuna lolote tofauti na kujikweza kwa maneno ya uongo!
 
Huyo Samia asiye ropoka kalifanyia nini Taifa maana kila siku mafuta na usafiri unapanda,Barabara Makorongo kila kona,Mafisadi, kauza Bandari na kufukuza Wananchi Ngorongoro na KIA! Nyamaza tu hujui unaloongea! Hao Viongozi wanaojidai wana Hekima na ujinga ujinga kama huo ndo hawawajibiki na hukuna lolote tofauti na kujikweza kwa maneno ya uongo!
Kwani Nchi hii ni Mafuta na usafiri pekee?

Haya hapa amefanya mama Yako? 👇👇
1720640251.jpg
-1773502712.jpg
1472169014.jpg
-1634534405.jpg
1942481386.jpg
2019107270.jpg
 
Siasa za dijitali, siasa za mitandaoni, siasa za Instagram, siasa za uchawa.

Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya nchi.

Makonda ni moja ya viongozi wachapakazi sana ila tatizo lake ni moja Kila anachokifanya anataka Dunia nzima ijue. Kwangu huu nauita ni ulimbukeni na ushamba.

Humphrey Polepole miongoni mwa waliomkubali na kukubalika na hayati Magufuli naye ni wale wenye siasa za kupenda kuonekana mbele, yaani wao kwanza kuliko maslahi ya taifa.

Shaka Hamdu Shaka
Huyu Naye alikuja na Kasi fulani hivi wao hutaka waitwe wachapakazi lakini ukweli ni kujiweka front ili tu kuongeza curriculum vitae kwa masilahi yao.

Lengai Sabaya
Huyu nisiongee sana wengi wanajua, umri wake tu ulionesha namna alivyomjinga kwa kutaka engagement kubwa kwa kuumiza baadhi ya raia wake kwa kisingizio chake cha kutanguliza masilahi ya nchi.

Wengine ni Albert Chalamila homeboy, Kenan kihongosi, Ally Hapi,
Ni wachapakazi haswa ila tatizo hawana utulivu.

Wapo wengi wanaojiita machawa wenye vyeo na wasio na vyeo jambo ambalo huenda serikali ni kama imebariki.

Pamoja na yote hayo wapo vijana wengi tu Wana siasa nzuri sana miongoni mwa hao ni Dotto Biteko.

Alionekana ni sukumagang kwa mujibu wa mgawanyo kwenye chama cha mapinduzi, alitabiriwa kushindwa au kuachwa kwenye hii serikali ya mama lakini bado kijana anadunda.

Utulivu wake, kufanya kazi kwenye eneo lake bila kujipendekeza, kumefanya afike alipo, ni naibu waziri mkuu ,pia ni waziri wa nishati.

Yanazungumzwa mengi kwamba huenda nafasi alizopewa ni mtego lakini ukweli huyu ni hazina kubwa kwenye hii nchi. Nina Imani naye huyu jamaa.

NB; hakuna binadamu aliyekamilika, jamaa ana mapungufu yake kama ilivyo kwa yeyote yule.
View attachment 2987389
ukiwa na uelewa na na ufahamu wa kutosha juu ya masuala ya kisiasa, utawala na uongozi, daima huwezi kubabaishwa na aina au styles za utendaji wa viongozi wengine wa kisiasa wala huwezi kua na muda kuwazungumzia na kuwatajataja majina kwa mistari isiyo na vina 🐒

hata hivyo,
sio vibaya ikiwa unafanya hivyo for leaning or academic purposes and not otherwise 🐒
 
Back
Top Bottom