Mungu ni fiction tupu, unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?
I can prove existence of Mungu. If you want!
Mungu yupo,but it depend on what you believe,...Suala hili ni la kiimani zaidi kuliko hali halisi,yapo mambo yanayonifanya niamini kwamba Mungu yupo,kutaja machache ni pamoja na ...Creation ya dunia na vyote vilivyomo tukiwemo binadamu( mimi na wewe),Nyota,mwezi,na viumbe wengine ..sitaki kuamini vilijileta tu, na kwamba hata uhai wa binadamu na hatima ya maisha yake siamini kwamba ni kitu ambacho kipo kinachotokea tu...there must be somebody..na huyo ni Mungu.Bible which is the base of my faith says so,Quruan Say so and even Satan knows it...
Mungu ni fiction tupu, unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Kama ulimwengu umeumbwa, kwa sababu vitu complex haviwezi kutokea bila kuumbwa, basi it follows huyo aliyeumba ulimwengu naye ni complex kuliko ulimwengu, na yeye itabidi awe na muumba, na muumna wakeitabidi awe na muumba wake, ad infinitum.
Ukisema mungu alipata exception kutoka sheria hii, kwamba yee hkuwa na muumba, unaonyesha kwamba hii sheria hiko absolute, kwamba hii sheria ina exception, then it follows kwa nini kma sheria hii inaruhusu exception kwa mungu isiruhusu exception kwa ulimwengu na binadamu?
Ukisharuhusu mungu awepo bila kuumbwa unakuwa ushaacha loophole ya kwamba inawezekana binadamu na ulimwengu haujaumbwa.
It is impossible to advcate for creation on the basis of complexity, because it is a never ending pyramid of incosistencies.Kanuni itakayokufanya uamini binadamu kaumba ndiyo hiyo hiyo itakayokufunga uamini mungu naye kaumbwa ukisema umpe mungu upekee wa kusema yeye hajaumbwa, upekee huu huu utakusuta kwa kukuruda na kusema vipi kama upekee huu una apply kwa biadamu pia.
Contraditions, contradictions.
Kiranga upo wapi...rudi tujadili hili suala..ni muhimu sana...
Mheshimiwa Kiranga,nimetangulia kwa kusema jambo hili ni la kiimani zaidi,kwa maana nyingine katika imani we dont need a proof,..ukishaanza kuproof hiyo si imani ni jambo lingine kabisa tunaweza kusema ni sayansi au sheria ukipenda,..Ndo maana wakristo wengi tunaamini kwamba kuna maisha baada ya kifo,lakini wanasayansi hawawezi kukuambia kwamba kuna maisha baada ya kifo kwani they cant proof..are you there Boss!
Labda ameenda kujipanga upya, ni hatari sana kauli hizi labda uwe unatokea Urusi, Ireland na kwingineko ambapo napo japo baadhi hawamini uwepo wa "MUNGU" lakini bado wanataja mungu au kuamini "MIUNGU".
afadhali Kiranga umerudi, ebu tupe uthibitisho mzee kwa kauli zako!
Ukishaongea imani unaweza kuongea chochote kile, mi nataka facts, testable tangible observable facts.
Imani uanweza kuamini mungu anakaa misitu ya Kongo, poa tu kivyako.Ukitaka kuleta kama fact that is another matter.