COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Tangu nianze kuangalia bunge la TZ kwa awamu hii na kuwaona wabunge mbalimbali wakichangia hoja kinachonivutia ni staili ya uchangiaji wa mbunge wa Vunjo mh. Mrema, yy hawezi kuchangia hoja pasipo kulitaja jimbo lake atajitahidi hata kama hoja ile haipo kabisa jimboni mwake atajitahidi aivute mpaka ahakikishe amejua ni namna gani vunja inaweza kufaidika na hoja hiyo.
Kama anaona haiwezekani basi yuko tayari asichangie hoja hiyo. Hii imenipa hamasa kwani mm sijawahi kusikia jimbo langu likitajwa bungeni, nadhani ni kwa vile tunawakilishwa na gamba hlf limedanganywa uwaziri mdogo n/waziri.
Mm naamini kuna wa tz hawajui kama tz tuna jimbo linaitwa BUYUNGU.
Ndg. Wana JF mnaionaje hii staili ya mrema, mm naiunga mkono.
NAOMBA KUWASILISHA
Kama anaona haiwezekani basi yuko tayari asichangie hoja hiyo. Hii imenipa hamasa kwani mm sijawahi kusikia jimbo langu likitajwa bungeni, nadhani ni kwa vile tunawakilishwa na gamba hlf limedanganywa uwaziri mdogo n/waziri.
Mm naamini kuna wa tz hawajui kama tz tuna jimbo linaitwa BUYUNGU.
Ndg. Wana JF mnaionaje hii staili ya mrema, mm naiunga mkono.
NAOMBA KUWASILISHA