Jamaa ambaye alifumaniwa na mke wa mtu amelipishwa 300,000/= kama faini ya UGONI. Hili dili mbona kama limepangwa na mwenye mke?
Wadau kuweni makini na wake za watu hapa mjini.
View attachment 269767 View attachment 269762
Mke wa maskini KUWADI mumewe!Jamaa ambaye alifumaniwa na mke wa mtu amelipishwa 300,000/= kama faini ya UGONI. Hili dili mbona kama limepangwa na mwenye mke?
Wadau kuweni makini na wake za watu hapa mjini.
View attachment 269767 View attachment 269762
Ukileta mambo ya sheria ndo maana tunawauwa. Illegal contract... kwani hiyo relation ni legal? Ebu acha hizo bhana. Kwanza katoa hela kidogo sana.Illegal contract is not enforceable by the law! That contract involved an illegal object, and therefore illegal contract!