Huyo mwanaume nae bure kabisa. Mke wa mtu apelekwi nyumba za kulala wageni ambazo muhudumu anaohongwa kwa fanta tu anaonesha chumba. Mke wa mtu anapelekwa hotelini tena ya nyota nyingi tu, ambazo taarifa za mtu hazitolewi hata siku moja, mwenye mke hatothubutu vamia au ingia hapo kwa sababu hiyo sehemu itakuwa siyo hadhi yake.
Ushawahi sikia fumanizi zimetokea kwenye mahoteli ya hadhi ya juu?