BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Habari JF
Nina matatizo ya mgongo na yameanza siku za karibuni. Kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 11 jioni nakuwa nimekaa kwenye kiti, labda niende lunch au kunyoosha miguu na movement chache tu. Je inaweza kuwa tatizo la kukaa sana?au kiti nikaliacho na position?
Nikirudi nyumbani na kujilaza najisikia afadhali mana ni kama naupumzisha mgongo.
Naogopa nisije nikawa na matatizo zaidi ya mgongo na sijui. Nisaidieni
Shukrani!
Nina matatizo ya mgongo na yameanza siku za karibuni. Kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 11 jioni nakuwa nimekaa kwenye kiti, labda niende lunch au kunyoosha miguu na movement chache tu. Je inaweza kuwa tatizo la kukaa sana?au kiti nikaliacho na position?
Nikirudi nyumbani na kujilaza najisikia afadhali mana ni kama naupumzisha mgongo.
Naogopa nisije nikawa na matatizo zaidi ya mgongo na sijui. Nisaidieni
Shukrani!