KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Mapema Mwezi wa tano Mwaka huu Mweyekiti wa baraza la Madiwani Ileje Mh Mohamed Mwala aliitisha kikao Cha madiwani kilichopelekea Kumukataa Mkurungenzi mpya wa Wilaya na kumupendekeza Afisa mfugo wa Wilaya aitwaye Dk Kasanga kushika nafasi ya Mkurungenzi mtendaji.
Tuhuma za Mkurungenzi mpya Bi Sylivia Siriwa zilikuwa ni :
1.Kuiletea Halimashauli Madeni hewa zaidi ya 1.2bils
2.Kushindwa kudhibiti Jaribio la wizi wa 86,000,000/= kupitia NMB
3.Kumudharau Mwenyekiti.
Hata hivyo imebainika kuwa madeni hewa yalisababishwa na utawala uliopita na mkurungenzi mpya ameyakuta na kukabidhiwa na kamati ya fedha ya Wilaya.
Suala la Jaribio la Wizi lilizuiwa na Bi Syliwa Siriwa kwa kupiga simu kwa meneja Benki NMB na kuamuru wahusika wakamatwe. Hata hivyo wizi huo ulipangwa na Wazawa na kumuzunguka Mkurungenzi wakati yeye akiwa safari.
Watendaji katika vitengo Wilaya ya Ileje wana lalamika kuwa kuna ubaguzi wa Ukabila na Uzawa ambapo watendaji kutoka katika maeneo mengine nje ya Ileje wanashambuliwa vibaya na kwamba wapo watu wano tuma majungu serikali kuu juu ya Watendaji wasio wazawa wa Ileje ili waondolewe na nafasi hizo kuchukuliwa na Wazawa.
Pia imebainika kuwa Migogoro ya Ileje imetokana na baadhi ya watendaji ambao walishindwa katika kura za maoni CCM 2010 na baadaye wakateuliwa na Serikali kuongoza .
Wanatolea mfano Dkt Kassanga alishindwa na Mhe Job Ndugai kura za maoni CCM na sasa anafanya siasa kumutoa Mkurungenzi wakatin yeye mwenyewe anatuhuma za kuiba pesa za kuchimba mabwawa Ileje.
Kufuatia Mgogoro huu , Mkurungenzi Ileje Bi Syliwa Siriwa ameachwa aendelee na Kazi na badala yake Mkurungenzi wa Zamani Bi Grady aliyehamishiwa Lindi ameitwa kujibu tuhuma na ameingia Ileje jumapili!!!!.
Inavyo onyesha Wanasiasa wanahaha utawala 2015
Tuhuma za Mkurungenzi mpya Bi Sylivia Siriwa zilikuwa ni :
1.Kuiletea Halimashauli Madeni hewa zaidi ya 1.2bils
2.Kushindwa kudhibiti Jaribio la wizi wa 86,000,000/= kupitia NMB
3.Kumudharau Mwenyekiti.
Hata hivyo imebainika kuwa madeni hewa yalisababishwa na utawala uliopita na mkurungenzi mpya ameyakuta na kukabidhiwa na kamati ya fedha ya Wilaya.
Suala la Jaribio la Wizi lilizuiwa na Bi Syliwa Siriwa kwa kupiga simu kwa meneja Benki NMB na kuamuru wahusika wakamatwe. Hata hivyo wizi huo ulipangwa na Wazawa na kumuzunguka Mkurungenzi wakati yeye akiwa safari.
Watendaji katika vitengo Wilaya ya Ileje wana lalamika kuwa kuna ubaguzi wa Ukabila na Uzawa ambapo watendaji kutoka katika maeneo mengine nje ya Ileje wanashambuliwa vibaya na kwamba wapo watu wano tuma majungu serikali kuu juu ya Watendaji wasio wazawa wa Ileje ili waondolewe na nafasi hizo kuchukuliwa na Wazawa.
Pia imebainika kuwa Migogoro ya Ileje imetokana na baadhi ya watendaji ambao walishindwa katika kura za maoni CCM 2010 na baadaye wakateuliwa na Serikali kuongoza .
Wanatolea mfano Dkt Kassanga alishindwa na Mhe Job Ndugai kura za maoni CCM na sasa anafanya siasa kumutoa Mkurungenzi wakatin yeye mwenyewe anatuhuma za kuiba pesa za kuchimba mabwawa Ileje.
Kufuatia Mgogoro huu , Mkurungenzi Ileje Bi Syliwa Siriwa ameachwa aendelee na Kazi na badala yake Mkurungenzi wa Zamani Bi Grady aliyehamishiwa Lindi ameitwa kujibu tuhuma na ameingia Ileje jumapili!!!!.
Inavyo onyesha Wanasiasa wanahaha utawala 2015