Mgomo wa walimu kuanza july 07,2012.

GLORY B2 GOD

New Member
Jun 29, 2012
1
0
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!
 
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!

Huku wakiikumbuka kauli ya "LIWALO NA LIWE" Kiongozi wa mgomo get prepared plse, MSITU WA PANDE unakusubiri.
 
Mkoba lazima ahairishe Mgomo wa Walimu kwani anaogopa kilichomsibu ULIMBOKA.Ataogopa msemo wa PINDA wa 'LIWALO NA LIWE.
 
mgomo wa walimu upo palepale kaeni mkao wa kula, na liwalo na liwe ila walimu lazima tugome otherwise serikali ikubali madai yetu.
 
mgomo wa walimu upo palepale kaeni mkao wa kula, na liwalo na liwe ila walimu lazima tugome otherwise serikali ikubali madai yetu.


Tunataka mfanye kwa vitendo na sio propaganda. Tunasubiri hiyo tarehe 7 July. Mmekuwa mkitangaza mara kibao lakini mwishowe peupeeeeeeee, kimyaaaaaaaaaaa kama vile umepita upepo wa kusi
 
Sidhani kama wanaubavu km madaktari, Labda wangewahusisha walimu wa vyuo vikuu wangefanikiwa.Ugumu wa maisha walionao walimu vijijini na sehemu zingine ni kikwazo cha mgomo wao, wale wote wanaotarajia kustafu kutokana na umri hawapo tayari kugoma hilo walijue, Kuna ongezeko kubwa la wahitimu wa ualimu kutoka vyuo mbalimbali wanaohitaji ajira za ualimu na ambao wapo tayari kufanya kazi kwa mazingira yeyote yale, kwa hiyo waliopo wakigoma graduates wanachukua kazi. nauhakika asilima 80 walimu hawawezi kufanikiwa kwani sio wamoja.
 
Believe me and take my word, WAALIMU WA TANZANIA HAWAWEZI KUGOMA! kwanza hawasimami kama jamii moja, pili hawamaanishi wanachokiamua na kukisema!
 
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!

Kwani wana umuhimu gani waalimu? Mbona ni takataka tu kwa JK na serikali yake. Kama katumia siasa kuwakandamiza Dr's itakuwa hawa washika chaki? Tena hakuna hata anayekufa? Na mkumbuke kauli moja ya serikali (ya aliyekuwa naibi waziri wa elimu Mwantum Mahiza) pale songea alipata kusema "nani aliwalazimisha kuja kuwa walimu? Si mgechagua kazi zingine!". Yaani salama ya walimu ni kusubiri 2015 wasaidie ukombozi kwa kihamasisha wapiga kura
 
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!
Waoga sana hao.
 
Walimu ni mafisi hawawezi kugoma......
Taja waalimu ni mafisi???????????? haya tunaish msitu gani na nani atulishaye mifupa? imeandikwa hivi mwanafunzi hakui kumzidi mwalimu wake mpaka na yeye amehitimu. so kama wewe ulikuwa mwanafunzi inamaana ulikuwa fisi ukafundishwa na fisi na sasa umehitimu hivyo umekua fisi kuliko fisi mwalim na kwa logic hii wewe ni fisi mkuu.

chezeya wote ila siyo waalimu.
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!

Hivi nyie watu chama cha vinega a.k.a. chadema huu uchochezi wa migomo unawasaidia nini?maana naona baada ya kuona watu hawawaungi mkono kwenye ile style yenu ya kususa na kuandamana sasa hivi ngumu mmeipeleka kwenye kuchochea migomo ambayo mwisho wa siku inawaumiza wananchi ambao baadae mnategemea kwenda kuwaomba kura na sio viongozi wa ccm,hapo ndipo mnapopeteza umaarufu kwa wananchi na ndipo ccm inapowashindia lakini bahati mbaya mko usingizini hamuishtukii hiyo na ccm wanawaacha muendelee kulala ili waendelee kutawala kirahisi
 
Back
Top Bottom