GLORY B2 GOD
New Member
- Jun 29, 2012
- 1
- 0
Kama kweli Walimu mna uchungu na maisha yenu, chonde chonde msiahirishe MGOMO kama ilivyo kawaida yenu kuahirisha kwa sababu ya kutishiwa na wanaojidai kuwa wenye nchi.Waigeni madaktari hakika mtafanikiwa.Solidarity forever..........!!!