Inawezekana kabisa ,huu ni upuuzi kumfurahisha mtawala,hata Yeye huenda anawashangaa!Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Hawawezi,wanajua mbilinge yake!Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Acha tuoneHawawezi,wanajua mbilinge yake!
Vijana kibao hawana kazi, wagome vijana wapate ajira.Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.
Sio jambo jepesiVijana kibao hawana kazi, wagome vijana wapate ajira.
Hilo ndio,umeliona la Maana!Vijana kibao hawana kazi, wagome vijana wapate ajira.
kwaiyo nani kasababisha hao vijana kibao kutokuwa na kazi kwaiyo kwenu ni sifa vijana kutokuwa na kazi, mpaka pale wengine wakigoma ndiyo mnawapa kazi .Vijana kibao hawana kazi, wagome vijana wapate ajira.
Hakuna muhadhiri anayeweza kugoma. Kwanza wahadhiri wengi ni machawa. Pili wananjaa sana.Wahadhiri wanaongeka kwa elfu 10, elfu 50 kirahisi tu. Yaani ndio utegemee wagome kwa sababau ya mwenzao.Ni kufwatia kukamatwa na kupewa kesi ya ugaidi kwa wenzao wa UDOM
Vikao vya chama cha wahadhiri vyuo vikuu vinaendelea ili kuona namna ya kuchukua hatua stahiki za haraka
Eitha kutokana na hali ilivyo usiri umetawala na huenda wakatoka na azimio moja tu la mgomo.