Inasemekana wanafunzi kumi na tano(15) wamesimamishwa masomo mpaka pale utawala wa chuo hicho utakapotoa maamuzi.
Wanafunzi walisalia wametakiwa kuripoti chuoni hapo siku ya tar.02 Jan.Watahitajika kudownload barua maalumu itakayowekwa kwenye mtandao na utawala wa chuo hicho.
Barua zao zitahitajika zijazwe na kupigwa mihuri na viongozi wao wa serikali za mitaa,wanafunzi wanaodaiwa watatakiwa kulipa ma madeni yote pamoja na kufanya udahili katika uwanja wa Jamhuri.
Wanafunzi walisalia wametakiwa kuripoti chuoni hapo siku ya tar.02 Jan.Watahitajika kudownload barua maalumu itakayowekwa kwenye mtandao na utawala wa chuo hicho.
Barua zao zitahitajika zijazwe na kupigwa mihuri na viongozi wao wa serikali za mitaa,wanafunzi wanaodaiwa watatakiwa kulipa ma madeni yote pamoja na kufanya udahili katika uwanja wa Jamhuri.