singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Leo asubuhi wakati natokea kiteto Mkoani Manyara konda na dereva wake walikuwa wanazungumzia kuwa wiki ijayo kutakuwa na mgomo kwa madereva wa mabasi na abiria nchi nzima wenye taarifa watujuze.
MGOMO RASMI WA MADEREVA NCHI NZIMA
Chama cha Umoja wa Madereva Tanzania chasema mgomo rasmi wa Madereva nchi nzima utaanza Ijumaa endapo Serikali na Taasisi zake hazitashughulikia malalamiko yao, wakati huo huo Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani kimesema kitendo cha madereva wa mabasi na malori nchini kuitisha mgomo si cha kiungwana.
Chanzo:EA Radio
Chama cha kutetea haki za abiria chaunga mkono mgomo wa Madereva.