chamlungu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 326
- 339
Leo asubuhi wakati natokea kiteto mkoani manyara konda na dereva wake walikuwa wanazungumzia kuwa wiki ijayo kutakuwa na mgomo kwa madereva wa mabasi na abiri nchi nzima wenye taarifa watujuze[/QUOTE
Mimi nipo Dar, juzi nilikuwa naenda maeneo ya Bunju. Kwenye basi nililopanda nikawasikia jamaa 2(nahisi madereva) walikuwa wanazungumzia kikao cha madereva kilichofanyika siku ndiyo, na kwamba wameazimia kugoma Ijumaa ya wiki hii. Kwa ndiyo huenda kuna ukweli juu ya hili