Makato yako juu bei wanazidi kupunguza na pia wanatoa mikataba kandamizi kwa derevaKisa nini? Tujuzen na sisi wateja wenu ili tuunge mkono.
Madai ni meng madereva wanayajua1. Nini madai ya mgomo wenu?
2. Mmeshajaribu usuluhishi wa amani ukashindikana?
3. Je hapa unahamasisha mgomo au tayari mmeshagoma? (Ili watumiaji wa huduma hizo tufikirie huduma mbadala).
Kenya wametoka kugoma last week kwa sababu bei zinazidi kupungua na wamefanya hvo sehemu nyingiMkifanikiwa nitawasifu sana mkuu.
Mgomo unaohusisha watu wengi ambao wana malezi tofauti, tabia tofauti, shida tofauti na imani tofauti huwa kazi sana kufanikiwa. Utashangaa siku nyie mnagoma kutakuwa na wengine wako barabarani kama kawaida! Kila mtu ana shida zake mkuu, unaweza kujikuta wewe una uwezo wa kukaa siku 2 au 3 za mgomo bila kufanya kazi mwenzako ana mke mjamzito yuko hospitali anazichanga apate elfu 8 ya trip akanunue vifaa vya kujifungulia apeleke!
Mmejaribu kucheki na madereva wenzenu wa nchi zingine wa UBER wao makato yao yakoje? Maana wabongo kwa ulalamishi nasi hatujambo! Uber ni kampuni ya kimataifa inawezekana makato yao ni hivyo dunia nzima sasa kuwabadili mtachukua muda kidogo mkuu. Hata hivyo kwa biashara huria hii mkuu, kwanini mnahangaika kugoma, kama jamaa wanayeyeyusha si unatoka tu unaachana nao unasajili taxfie au ping au hizo zingine.
Pakua app hizi ambazo zitafanya kazi kama kawaidaSawa. Ila mkogoma mhakikishe napata usafiri wakati wowote nitakapowahitaji.
Siwezi kukosa usafiri kwa sababu ya mgomo wenu pamoja na kua naunga mkono mgomo wenu ingawa sijui mnagomea nini.
Kwamba watafungasha virago? Duh aisee ila yote poa tu,me nshazoea kupanda eicherGomeni tu watawaacha hapo magari tutanunua bei bure
Napenda uber sana kwa sababu hata customer service yao ni ya kimataifa. Reclaim procedures zao ziko wazi zinaeleweka.Pakua app hizi ambazo zitafanya kazi kama kawaida
Tantax
Ping
Little ride
Moovin
Exicab
Quitax
Zote za hapa hapa tanzania
Jiandae kutembea kwa miguuNapenda uber sana kwa sababu hata customer service yao ni ya kimaiataifa. Reclaim procedures zao ziko wazi zinaeleweka.
Mitandao ya kiswahili swahili mimi hapana.
Ndio maana hata kwenye simu natumia Vodacom kwa sababu ya customer service yao. Huwezi kunikuta tigo sijui halotel.
Sina imani na kampuni yoyote iliyotokea asia au hapa Afrika kwenye suala la huduma kwa wateja.
Unakua na jeur hvo akat ni maskin wa kutupa...hii ni africa...mtu mwenyew unatumia uber...unalipa elf3.kama una jeur nenda kituo cha mafuta jaza mafuta endesha gar...ukiwa maskin usiwe jeur hvo...Napenda uber sana kwa sababu hata customer service yao ni ya kimataifa. Reclaim procedures zao ziko wazi zinaeleweka.
Mitandao ya kiswahili swahili mimi hapana.
Ndio maana hata kwenye simu natumia Vodacom kwa sababu ya customer service yao. Huwezi kunikuta tigo sijui halotel.
Sina imani na kampuni yoyote iliyotokea asia au hapa Afrika kwenye suala la huduma kwa wateja.
Tena bogus kbs asubiri hao uber wampeleke kwa magari yaoUnakua na jeur hvo akat ni maskin wa kutupa...hii ni africa...mtu mwenyew unatumia uber...unalipa elf3.kama una jeur nenda kituo cha mafuta jaza mafuta endesha gar...ukiwa maskin usiwe jeur hvo...
Usipowezesha kampun za africa utawezesha nin sasA..bogus kabisa
😂 😂 😂 😂 😂 😂me nshazoea kupanda eicher
JidanganyeYaani we umegoma ila wenzio wanapiga hela tena ndio itakua faida kwao kwasababu watakua wachache.
Umasikini haukufanyi uwe masikini hadi kwenye uchaguzi.Unakua na jeur hvo akat ni maskin wa kutupa...hii ni africa...mtu mwenyew unatumia uber...unalipa elf3.kama una jeur nenda kituo cha mafuta jaza mafuta endesha gar...ukiwa maskin usiwe jeur hvo...
Usipowezesha kampun za africa utawezesha nin sasA..bogus kabisa