Jana wakati Rais JK anaongea na wazee wa DSM aliligusia hili la wanaharakati wetu jinsi walivyoshiriki katika mgomo huu, ingawaje kwa walio wengi ambao walisapoti Drs hili wataliona ni moja ya porojo alizokuwa anazipiga Mzee wa Kaya.
Wakati ule wanaharakati walipo ingilia kati kwa kusapoti DRs kwa asilimia mia moja wenye akili timamu tulihoji,
tulihoji kuwa kweli wanaharakati hawaoni na upande wa pili kuwa wananchi wanaowasimamia katika harakati zao wanaumia kwa vita ya GVT vs DRs, kwa bahati mbaya hatukueleweka
Nadhani hii ni changamoto kubwa kwa wanaharakati wetu kuangalia upya kile wanacho kitetea kwa maslahi ya mwanachi wa chini kabisa
Kwenye mgomo huu Ingawaje DRs walikuwa na madai yao ya msingi ambayo GVT ilionyesha nia ya kuyatekeleza wanaharakati hawa walikuwa kimya hadi pale DRs walipotaka viongozi wa kisiasa wawajibishwe kwanza ndio maswala mengine yafuatie ama sivyo mgomo moja kwa moja
Hapa sasa waliibuka from no where na kuanza kushinikiza mawaziri wawajibishwe na kuunga mkono mgomo uendelee hadi watolewe mawaziri.
Binafsi nilijiuliza sana kwamba ni kweli DRs wanasuguana na GVT kuhusu madai yao na hapa wanao umia ni wananchi, je wanaharakati ni lazima walalie upande mmoja wa DRs na kuacha wananchi wakitaabika, hivi walifanya juhudi gani kuhakikisha wanatetea maslahi ya mwanachi wa kawaida anayeuza vitumbua na maji akakuta Drs wamegoma na mfukoni ana pesa ya kumudu gharama za hospitali za serikali tu.
Kweli walimfikiria mwananchi huyu au walifikiria JK ni mgumu kuwajibisha wateule wake na sasa watumie mwanya huo kushinikiza bila kujali athari kwa wananchi wano watetea?
Je wanaharakati wetu ni ma opportunist wanao subiri tukio ndio waonekana kwenye media "kutetea" wananchi?
To be frank sijawahi kusikia wanaharakati wetu hawa wameibua hoja na kuivalia njuga zaidi ya kusubiri matukio pamoja na kuwa wanafanya kazi nzuri kiasi
Je kuwa mwanaharakati ni nini? nikuwa againt GVT muda wote hata kama kufanya hivyo ni kuumiza wananchi wasio na hatia kwa mambo yasiyo na ulazima
Mtazamo wangu nadhani ni vizuri wanaharakati hawa wakaangalia maslahi ya wananchi kwa ujumla hasa linapokuja swala la uhai wa watu, nilitarajia wanaharakati wangekuja na msimamo wa kuitaka GVT itimize matakwa ya DRs haraka huku wanaharakati hao wakiwataka DRs kurudi haraka kazini kuokoa maisha ya wananchi wano watetea wakiwa kama wanaharakati, vinginevyo uwana harakati wao itakuwa ni kupinga serikali tu na si maslahi kwa umma
Wakati ule wanaharakati walipo ingilia kati kwa kusapoti DRs kwa asilimia mia moja wenye akili timamu tulihoji,
tulihoji kuwa kweli wanaharakati hawaoni na upande wa pili kuwa wananchi wanaowasimamia katika harakati zao wanaumia kwa vita ya GVT vs DRs, kwa bahati mbaya hatukueleweka
Nadhani hii ni changamoto kubwa kwa wanaharakati wetu kuangalia upya kile wanacho kitetea kwa maslahi ya mwanachi wa chini kabisa
Kwenye mgomo huu Ingawaje DRs walikuwa na madai yao ya msingi ambayo GVT ilionyesha nia ya kuyatekeleza wanaharakati hawa walikuwa kimya hadi pale DRs walipotaka viongozi wa kisiasa wawajibishwe kwanza ndio maswala mengine yafuatie ama sivyo mgomo moja kwa moja
Hapa sasa waliibuka from no where na kuanza kushinikiza mawaziri wawajibishwe na kuunga mkono mgomo uendelee hadi watolewe mawaziri.
Binafsi nilijiuliza sana kwamba ni kweli DRs wanasuguana na GVT kuhusu madai yao na hapa wanao umia ni wananchi, je wanaharakati ni lazima walalie upande mmoja wa DRs na kuacha wananchi wakitaabika, hivi walifanya juhudi gani kuhakikisha wanatetea maslahi ya mwanachi wa kawaida anayeuza vitumbua na maji akakuta Drs wamegoma na mfukoni ana pesa ya kumudu gharama za hospitali za serikali tu.
Kweli walimfikiria mwananchi huyu au walifikiria JK ni mgumu kuwajibisha wateule wake na sasa watumie mwanya huo kushinikiza bila kujali athari kwa wananchi wano watetea?
Je wanaharakati wetu ni ma opportunist wanao subiri tukio ndio waonekana kwenye media "kutetea" wananchi?
To be frank sijawahi kusikia wanaharakati wetu hawa wameibua hoja na kuivalia njuga zaidi ya kusubiri matukio pamoja na kuwa wanafanya kazi nzuri kiasi
Je kuwa mwanaharakati ni nini? nikuwa againt GVT muda wote hata kama kufanya hivyo ni kuumiza wananchi wasio na hatia kwa mambo yasiyo na ulazima
Mtazamo wangu nadhani ni vizuri wanaharakati hawa wakaangalia maslahi ya wananchi kwa ujumla hasa linapokuja swala la uhai wa watu, nilitarajia wanaharakati wangekuja na msimamo wa kuitaka GVT itimize matakwa ya DRs haraka huku wanaharakati hao wakiwataka DRs kurudi haraka kazini kuokoa maisha ya wananchi wano watetea wakiwa kama wanaharakati, vinginevyo uwana harakati wao itakuwa ni kupinga serikali tu na si maslahi kwa umma