10000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 837
- 781
Ni masaa 35 sasa tangu umeme umekatika hapa mabibo hostel, vijana wamekusanyika hapa block G tangu jioni kujadili nini cha kufanya. TANESCO tafadhali msichafue hali ya chuo chetu. Mungu ibariki TANGANYIKA.
Baada ya kash kash mnamo saa 00:15 usiku umeme umerudishwa mabibo na wimbo wa taifa unaimbwa ili watu wakasome.
.....
sSa 00:32 umeme umekatwa tena na wanafunzi wanaanza kujimobilize upyaaa
........
Kama kanyamazongo za movie vile, saa 00:48 wamerudisha tena
Baada ya kash kash mnamo saa 00:15 usiku umeme umerudishwa mabibo na wimbo wa taifa unaimbwa ili watu wakasome.
.....
sSa 00:32 umeme umekatwa tena na wanafunzi wanaanza kujimobilize upyaaa
........
Kama kanyamazongo za movie vile, saa 00:48 wamerudisha tena