Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,178
Wanabodi,
Kumetokea mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha Jambo Plastics, Nyerere Rd. Wafanyakazi wameifungia nje menejimenti ya kiwanda, na kutanda lango kuu huku wamebeba mabango mbalimbali waliandika malalamiko yao.
Miongoni mwa malalamiko hayo, ni kuajiriwa mpaka kipindi cha miaka 10 kama vibarua tuu, bila NSSF, moja ya bango linamtaka Kikwete afukuze kazi waziri wa kazi, huku bango jingine likimtaka Magufuli ndio awe waziri wa kazi.
My Take!.
Huu ndio mtindo wa uendeshaji viwanda kwa wawekezaji uchwala ambapo haki za msingi za mfanyakazi ni favours!. Kitakachofuatia hapo ni defender za FFU labda na maji ya upupu!.
Kumetokea mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha Jambo Plastics, Nyerere Rd. Wafanyakazi wameifungia nje menejimenti ya kiwanda, na kutanda lango kuu huku wamebeba mabango mbalimbali waliandika malalamiko yao.
Miongoni mwa malalamiko hayo, ni kuajiriwa mpaka kipindi cha miaka 10 kama vibarua tuu, bila NSSF, moja ya bango linamtaka Kikwete afukuze kazi waziri wa kazi, huku bango jingine likimtaka Magufuli ndio awe waziri wa kazi.
My Take!.
Huu ndio mtindo wa uendeshaji viwanda kwa wawekezaji uchwala ambapo haki za msingi za mfanyakazi ni favours!. Kitakachofuatia hapo ni defender za FFU labda na maji ya upupu!.