Mgomo Jambo Plastics!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,178
Wanabodi,

Kumetokea mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha Jambo Plastics, Nyerere Rd. Wafanyakazi wameifungia nje menejimenti ya kiwanda, na kutanda lango kuu huku wamebeba mabango mbalimbali waliandika malalamiko yao.

Miongoni mwa malalamiko hayo, ni kuajiriwa mpaka kipindi cha miaka 10 kama vibarua tuu, bila NSSF, moja ya bango linamtaka Kikwete afukuze kazi waziri wa kazi, huku bango jingine likimtaka Magufuli ndio awe waziri wa kazi.

My Take!.
Huu ndio mtindo wa uendeshaji viwanda kwa wawekezaji uchwala ambapo haki za msingi za mfanyakazi ni favours!. Kitakachofuatia hapo ni defender za FFU labda na maji ya upupu!.
 
wanabodi,

kumetokea mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha jambo plastics, nyerere rd. Wafanyakazi wameifungia nje menejimenti ya kiwanda, na kutanda lango kuu huku wamebeba mabango mbalimbali waliandika malalamiko yao.

Miongoni mwa malalamiko hayo, ni kuajiriwa mpaka kipindi cha miaka 10 kama vibarua tuu, bila nssf, moja ya bango linamtaka kikwete afukuze kazi waziri wa kazi, huku bango jingine likimtaka magufuli ndio awe waziri wa kazi.

My take!.
Huu ndio mtindo wa uendeshaji viwanda kwa wawekezaji uchwala ambapo haki za msingi za mfanyakazi ni favours!. Kitakachofuatia hapo ni defender za ffu labda na maji ya upupu!.
hivi ni lini serikali itaacha kuwaandekeza hawa wawekezaji aka waddekezwaji hasa hawa jamaa zetu wenye asili ya kihindi ni wanyojaji sana .
 
Nchi ya kitu kidogo...tuwakatae wawekezaji uchwara! wanaojali maslahi yao kuliko uhai wa watu...haiwezekani wakae kwenye ardhi yetu,watutumikishe,tuwalambe miguu na mwishowe tuambulie majeraha ya maisha km tunavyoshuhudia sasa!
 
hadi kieleweke mwaka huu...halafu hawa watu wanaofanya kazi viwandani huwa wanaonewa sana...nadhani wengi ni hawajui hako zao za msingi na most of them hawana option ya kuishi dar...just ni ajira tu na wengi wao wa chini ya form 4,wanabanwa,wananyonywa all relative staffs. Naona wanaanza kujielewa by the way!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom