..Magufuli ni mropokaji.
..hana kabisa breki ya mdomo.
..pia inaonekana hajatulia kimawazo, na Uraisi hauhitaji mtu wa namna hiyo.
..ukisikiliza hotuba za Magufuli anazotoa mbele ya "laisi" Dr.Jakaya "Mlisho" Kikwete ndiyo utachoka kabisa.
Lowassa ndiye rais ajaye!
Nina wasi wasi wewe c raia wa Tanzania aisee. Huwez kutuharibia lugha namna hii.
una muda gan haupo dunian mana naona ww ni mgenKitabu cha siri ndani ya CCM kinasema " ni haramu kafiri (mkristo) kuwa mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Mi sishangahi kuona Magufuli ndo mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM ila watambue kuwa nchi hii haina dini, kabila, wala kanda.Nchi ni yawote...
Jiulize je! Katika historia ya Tanzania kashatokea mgombea uraisi mkristo kwa tiketi ya CCM?
Waache ujinga tuijenge nchi.