Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Nimeona mitandaoni mgombea Bubu wa CHADEMA anamwaga sera kupitia kwa mtafsiri. Nimevutiwa sana nae. Naombea ashinde. Hivyo naomba Lissu aende kumsaidia.
CHADEMA tumeuthibitishia ulimwengu kwamba tunafanya inclusive politics kila mwananchi ana haki sawa ndani ya chama chetu.naunga mkono hoja ikiwa itawezekana...ni mkakati mzuri sana pia ni kielelezo kwamba chama ni cha watu wa aina zote bila kujali mapungufu yao ya kimwili.
Nami nasubiri jibu ili nifahamuMgombea wa wapi huyo?'nafasi gani anayogombea?
Cdm ndiyo nyumbani kwa demokrasiaCHADEMA tumeuthibitishia ulimwengu kwamba tunafanya inclusive politics kila mwananchi ana haki sawa ndani ya chama chetu.
Tunachagua wenye sifa kuongoza watanzania siyo wenye hela za kuhonga wajumbe.
Rukwa Mwaka 2015 CHADEMA ilikuwa na Diwani aliyechaguliwa akiwa mfungwa. Yaani mgombea Udiwani wa CHADEMA alibambikiwa kesi ya kumtukana katibu kata wa CCM mwezi Septemba na akafungwa miezi 3, uchaguzi Oktoba akiwa jela akachaguliwa kwa kura nyingi. Akatoka jela Novemba na kuendelea kutumikia wananchi.
Hiyo ndiyo Chadema kwenye ubora wao.Rukwa Mwaka 2015 CHADEMA ilikuwa na Diwani aliyechaguliwa akiwa mfungwa. Yaani mgombea Udiwani wa CHADEMA alibambikiwa kesi ya kumtukana katibu kata wa CCM mwezi Septemba na akafungwa miezi 3, uchaguzi Oktoba akiwa jela akachaguliwa kwa kura nyingi. Akatoka jela Novemba na kuendelea kutumikia wananchi.
AiseeRukwa Mwaka 2015 CHADEMA ilikuwa na Diwani aliyechaguliwa akiwa mfungwa. Yaani mgombea Udiwani wa CHADEMA alibambikiwa kesi ya kumtukana katibu kata wa CCM mwezi Septemba na akafungwa miezi 3, uchaguzi Oktoba akiwa jela akachaguliwa kwa kura nyingi. Akatoka jela Novemba na kuendelea kutumikia wananchi.
Mpanju ni CCM, tena Makonda team ya kumshambulia Mhe Warioba. Mpanju ni kipofu sio Bubu. Kwa sasa nadhani ni Naibu Katibu Mkuu-Sheria
Jamani mwenye jibu hili tafadhali. Nami ninapenda kujua ni mgombea wapiMgombea wa wapi huyo?'nafasi gani anayogombea?
Juzi wanye matatizo ya kuona wenzake walimshambulia kwa maneno kuwa kawatelekeza baada ya kuteuliwaMpanju ni CCM, tena Makonda team ya kumshambulia Mhe Warioba. Mpanju ni kipofu sio Bubu. Kwa sasa nadhani ni Naibu Katibu Mkuu-Sheria
Ccm sio wakuwaamini hata maiti zao zinausaliti ndani yakeJuzi wanye matatizo ya kuona wenzake walimshambulia kwa maneno kuwa kawatelekeza baada ya kuteuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
nami na msubiriaJamani mwenye jibu hili tafadhali. Nami ninapenda kujua ni mgombea wapi