Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
Namfahamu sana Elisha, atakuwa amejimaliza kwa kufanya hivyo. Alikuwa na mtaji mzuri wa kushinda baada ya NGO yake kufanya vizuri katika masuala ya maendeleo jimboni humo. Kukosa msimamo ni hatari.
mimi naona hajakosa msimamo karudi chama chake cha zamani. Eti alipotoka CCM kwenda chadema hakununuliwa lakini alipoamua kurudi kwenye chama chake cha Zamani CCM amenunuliwa. acha longo longo hapa