Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Mkuu hiyo namba milioni 60 sijui ina nini kwa CCM. Nimeiona na kuisikia sana kwenye siasa za mwaka huu tokea primaries. Watu wa hesabu hapa wanisaidie, ni nini kinatoa hesabu ya milioni 60 kama rushwa wa wagombea ubunge wa mwaka huu?
Ni Mshahara na marupurupu ya miezi mitano kama angeshinda ubunge. Huu ni ulofa kweli kweli kwani kama angeshinda ubunge ndani ya miaka mitano angeingiza 720 million kwa uchache.