Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Zitto hakuwa anapinga na mgogoro na Bunge alikuwa na mgogoro na Chama chake. Kuzuia mchakato ni kusubiri maamuzi ya kesi ya msingi dhidi ya chama chake kufukuza uanachama.Duuh!
Kaka haya mamabo ya kisheria please usiongee kama hauna ujuzi nayo!
Zitto aliwahi fukuzwa CHADEMA na Mahakama ikamlindia ubunge wake
Aliyekuambia kama Mahakama haiwezi zuia uchaguzi usifanyike ni nani?
Jimbo la Lissu uchaguzi umeshahitimishwa na mbunge kapatikana hata afike leo, maamuzi yanasimama kama yalivyo, pamoja na uamuzi wa tafsri utakaotolewa, kuwa upande wake ama la. Sana itakuwa ni kumsafisha na msingi/mafunzo ya baadaye.