Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Namuonea huruma sana huyo Mbunge aliyechukua kiti cha Lisu
Muda ni mwalimu mzuri
Muda ni mwalimu mzuri
Kwa Nassari kuna uchaguzi ulifanyika ?Hata kama amepita bila kupingwa uchaguzi lazima ufanyike unakumbuka kura za maruhani za Pemba.
Mjinga mama yako
Wakati mwingine kuilaumu CCM inabidi kujiuliza mara mbilimbili, Je, hawa wagombea wa vyama vya upinzani 12 kukimbia na fomu za kugombea kusikojulikana wana akili kweli? Je wapinzani wa kweli hakuna ambao hawajiuzi? Wapinzani wataendelea na huu mtindo wa kujiuza mpaka lini? Kulaumu CCM kila siku siyo suluhisho bali wapinzani ndo wakulaumu sana kwa kukubali matakwa ya CCM kila mara.Jamaa ni mafala na misenge ni balaa. Eti miaka karibia 60 tangu uhuru anakosekana mgombea aliye na sifa?
Hii inaonyesha kuwa njia pekee ya kuitoa sisiemu madarakani ni kumwaga damu.
Wakati mwingine kuilaumu CCM inabidi kujiuliza mara mbilimbili, Je, hawa wagombea wa vyama vya upinzani 12 kukimbia na fomu za kugombea kusikojulikana wana akili kweli? Je wapinzani wa kweli hakuna ambao hawajiuzi? Wapinzani wataendelea na huu mtindo wa kujiuza mpaka lini? Kulaumu CCM kila siku siyo suluhisho bali wapinzani ndo wakulaumu sana kwa kukubali matakwa ya CCM kila mara.
Kwani Da Mange anasemaje?Sijui wamelamba kiasi gani hao jamaa wengine kwa walichokifanya ili kumtengenezea jamaa njia.
Lissu anafungua kesi Jumatatu Mahakama Kuu Dar!
Nina msikitikia Mtaturu ataukosa u DC pia ataukosa Ubunge,anarudi kijiweni!
Lissu hawezi shindwa kesi hii!
Hukumsikia akisema amekosa nauli ya kuja kufungua kesi Dar. Amemuombz wskili wake ama aa nauli amufuate Ubelgiji akamsainie Power of Attorney. Na hana shida na ubunge anachotaka ni mahakama ifafanue kama kufukuzwa kwake ni halali. Maana yake anajua Mhimili wa mahakama hauwezi kuingilia mchakato wa muhimili wa Bunge.Lissu anafungua kesi Jumatatu Mahakama Kuu Dar!
Nina msikitikia Mtaturu ataukosa u DC pia ataukosa Ubunge,anarudi kijiweni!
Lissu hawezi shindwa kesi hii!
Sikutarajia muhenga kama wewe taratibu hizi huzijui. Haimukini ilikuwa njia ya kuupoza moyo ili kupunguza msongo wa mawazo!!Hata kama amepita bila kupingwa uchaguzi lazima ufanyike unakumbuka kura za maruhani za Pemba.
Mbona hujafurahi?Shangilia basi!!!Unashangaa nini sasa?
Subiri hapo hapo kwanza.Mbona hujafurahi?Shangilia basi!!!
Duuh!Hukumsikia akisema amekosa nauli ya kuja kufungua kesi Dar. Amemuombz wskili wake ama aa nauli amufuate Ubelgiji akamsainie Power of Attorney. Na hana shida na ubunge anachotaka ni mahakama ifafanue kama kufukuzwa kwake ni halali. Maana yake anajua Mhimili wa mahakama hauwezi kuingilia mchakato wa muhimili wa Bunge.
Kama atarudishiwa U DC wake sawaHawezi kuukosa trust me, sijajua kwanini ila nahisi jiwe anaweka vitengo kwenye kila nyanja, nilibahatika kufanya kazi na braza yake anaitwa mohamed, alifariki kwa ajali ya gari
Ni sawa tu katika utawala wa kiimla haya tuyatarajie sana.Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Miraji Mtaturu amepita bila ya kupingwa katika uchaguzi mdogo kwenye Jimbo la Singida Mashariki, baada ya wagombea 12 wa vyama vya upinzani kutorejesha fomu. Uchaguzi mdogo utafanyika Julai 31 kufuatia Wakili Tundu Lissu kuvuliwa ubunge.
Kwanini hawa CCM wanapenda kuugharimu umma kwenye vitu vya kijinga?Lissu anafungua kesi Jumatatu Mahakama Kuu Dar!
Nina msikitikia Mtaturu ataukosa u DC pia ataukosa Ubunge,anarudi kijiweni!
Lissu hawezi shindwa kesi hii!