Mgombea wa CCM kata ya Kiborloni amejitoa

Kama ni kwamba itakuwa balaa sana kwa CCM maana itakuwa ndiyo mara ya kwanza kwa mgombea wao kujitoa.
 
Tunajua kanuni za uchaguzi, hawezi kujitoa Leo uchaguzi ukifanyika kesho. Mbona mnavumisha yasiyowezekana ni kwa faida ya nani?

rejea alichokifanya Fami Dovutwa 2010 na kuagiza kura zake apewe JK
- ilikuwa siku ngapi kabla ya kura kupigwa?
 
magamba kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiishinei, shonza muuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuufu, mwampamba mzoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooga
 
rejea alichokifanya Fami Dovutwa 2010 na kuagiza kura zake apewe JK
- ilikuwa siku ngapi kabla ya kura kupigwa?
Kwani ilikuwa endorsed na tume, si Jina lake lilibaki Kama mgombea. Dovutwa alikuwa msanii tu na hakuwa serious Tania mwanzo. Ninachosema kanuni haziruhusu kujitoa kwa sasa kwani Kila kitu ikiwemo karatasi za kupigia kura kimekamilika.
 
Nipo Moshi na ni wakala wa CHADEMA taarifa ni kua mgombea yupo wa CCM ila kiukweli maji yamemfika shingoni ... Anatamani kujitoa ila IMESHAKULA KWAKE
 
Nipo Moshi na ni wakala wa CHADEMA taarifa ni kua mgombea yupo wa CCM ila kiukweli maji yamemfika shingoni ... Anatamani kujitoa ila IMESHAKULA KWAKE

Picha ni mkutano wa Chadema wa kufunga kampeni kata ya kiborlon
 

Attachments

  • 1391882702327.jpg
    1391882702327.jpg
    67.5 KB · Views: 157
Mkuu Mungi,
Hayo ni mawazo ya watu wa Kiboriloni wanayompa huyu kijana baada ya kuona aibu inayompata. Fikiri, watu wanaokusanywa kwenye mikutano yake yoote wanabebwa na hiace kutoka mbali kata za Pasua, Bomambuzi na mjini kati. Wanaletwa kwa makubaliano kwamba watapewa buku 10 kila mkutano. Kwa taarifa yako, mgombea huyo ameweka mawakala wake wananunua kadi za wapiga kura kwa buku 10 kwa mapatano kuwa zitarudishwa J3 asubuhi ili kupunguza idadi za CDM. Kata hii ni motoooo.
Ndiyo maana watu wanamwambia ajitoe tuu. Mh. Mwanri kafika hapa na uswahili wake woote, anafurahi kuona watu mbele yake, sijui kama anajua kuwa si wakazi wa kata husika. Tuombe Mungu, kesho saa 12 jioni tunaanza kujiandaa kumtawaza diwani wetu. CCM hawajafanya lolote hapa tangu miaka 37 iliyopita, leo wanagawa mahindi na nyama Poleni ccm
 
Back
Top Bottom