subiri TBC..
Kama hii ni kweli, then sasa siasa ndio zinaanza, huyo jamaa atakuwa alikuwa CCM kadi na moyoni Chadema!, 2015, CCM haina chake tena Kanda ya Kaskazini, na hili nililisema hapa [h=3]Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi![/h]
Haya ni matokeo tuu!.
Pasco
Tunajua kanuni za uchaguzi, hawezi kujitoa Leo uchaguzi ukifanyika kesho. Mbona mnavumisha yasiyowezekana ni kwa faida ya nani?
Kwani ilikuwa endorsed na tume, si Jina lake lilibaki Kama mgombea. Dovutwa alikuwa msanii tu na hakuwa serious Tania mwanzo. Ninachosema kanuni haziruhusu kujitoa kwa sasa kwani Kila kitu ikiwemo karatasi za kupigia kura kimekamilika.rejea alichokifanya Fami Dovutwa 2010 na kuagiza kura zake apewe JK
- ilikuwa siku ngapi kabla ya kura kupigwa?
Sorry, Kanda ya Kaskazini minus Monduli and Upareni!. But Monduli no guarantee depending EL atasimamishwa CCM oe kwenye fall back yake ya Chadema!.Mkuu unaposema kanda ya kaskazini unamaanisha na Monduli?
Nipo Moshi na ni wakala wa CHADEMA taarifa ni kua mgombea yupo wa CCM ila kiukweli maji yamemfika shingoni ... Anatamani kujitoa ila IMESHAKULA KWAKE