Kenya 2022 Mgombea Urais Prof. George Wajackoyah ahuzunishwa kushindwa kupiga kura, vifaa vya KIEMS vina hitilafu

Kenya 2022 General Election
13 August 2022
KICC Nairobi Kenya


IEBC BADO INAENDELEA KUHESABU KURA ZA URAIS ZILIZOPIGWA

 
13 August 2022

Wafula Chebukati on changes made on results process taking place at National Tallying Centre, Bomas

 
13 August 2022
Eldoret, Kenya

"Tukona hamu sana kujua kwamba mshindi ni William Ruto," wakaazi eneo la Sugoi,Uasin Gishu​


 
14 August 2022

William Ruto says "final decision is God's" as he calls for peace


Source : Citizen tv Kenya
 
14 August 2022
Nairobi, Kenya

Raila Odinga arrives at ACK St. Francis Church in Karen for the church service



Source : Citizen TV Kenya
 
14 August 2022

Church leaders urge aggrieved politicians to seek resolution from the courts

 
14 August 2022
Nairobi, Kenya

Mgombea urais kupitia chama cha Agano, Bw. David Mwaure Waihiga akubali kuwa ameshindwa kupata kura za kutosha toka kwa waKenya.


Bw. David Mwaure Waihiga amesema baada ya yeye pia mgombea wake mwenza bi. Ruth Mucheru Mutua na viongozi pamoja pia wanachama wa Agano kutafakari matokeo na kupitia kwa umakini mtiririko wa matokeo ya upigaji kura kama yanavyotolewa ktk jumba la Bombas ambalo ndiyo kituo kikuu cha IEBC kuhesabu kura za uchaguzi mkuu wa Kenya 2022, wameona bila shaka yoyote kuwa hawakupata kura za kutosha na hivyo kukubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi ngazi ya urais.


Agano party presidential candidate David Mwaure Waihiga has conceded defeat ahead of the official announcement of Tuesday's presidential election results.

Waihiga, who has been trailing fourth in the presidential contest, also endorsed Kenya Kwanza's opponent William Ruto at a press conference in Nairobi on Sunday, August 14, 2022, after what he termed as wide consultations
 
14 August 2022

Mgombea urais kupitia chama cha Agano, Bw. David Mwaure Waihiga akubali kuwa ameshindwa kupata kura za kutosha toka kwa waKenya.


Bw. David Mwaure Waihiga amesema baada ya yeye pia mgombea wake mwenza bi. Ruth Mucheru Mutua na viongozi pamoja pia wanachama wa Agano kutafakari matokeo na kupitia kwa umakini mtiririko wa matokeo ya upigaji kura wameona bila shaka yoyote kuwa hawakupata kura za kutosha na hivyo kukubali kuwa ameshindwa katika uchaguzi ngazi ya urais.


Agano party presidential candidate David Mwaure Waihiga has conceded defeat ahead of the official announcement of Tuesday's presidential election results.

Waihiga, who has been trailing fourth in the presidential contest, also endorsed Kenya Kwanza's opponent William Ruto at a press conference in Nairobi on Sunday, August 14, 2022, after what he termed as wide consultations

Kwa hali hii kuna kila dalili kuwa huenda Ruto anakwenda kutangazwa mshindi, japokuwa kuna wasiwasi fulani kuwa huenda hatakuwa amevuka 50% hivyo ngoma ikaenda kwenye marudio.
 
14 August 2022

Ili kumtangaza mgombea wa urais kuwa mshindi,lazima;
  • Apate asilimia 50+1 ya kura zote zilizopigwa
  • Apate asilimia 25 ya kura katika Zaidi ya nusu ya kaunti zote 47 nchini
William Ruto na Raila Odinga wote wamepata zaidi ya asilimia 25 ya kura ktk zaidi ya nusu ya kaunti zote 47 nchini Kenya source : Elections 2022

Kigezo kilichobaki ili mgombea wa chama cha UDA bw. William Ruto au chama cha Azimio bw. Raila Odinga atangazwe mshindi ni jumla ya idadi ya kura alizopata mgombea zifikie angalau asilimia 50+ 1


Mpaka sasa wagombea Raila Odinga na William Ruto wanasubiri ikiwa watafikia kigezo cha asilimia 50+ 1


Au itabidi uchaguzi urudiwe ikiwa wagombea wote watashindwa kufikia asilimia 50 + 1. Ikiwa itatokea hivyo basi wagombea wawili tu wenye kura nyingi ndiyo watakwenda kwenye hatua nyingine ya marudio.


Source : Independent Electoral and Boundaries Commission
 
15 August 2022

Mgombea wa chama cha UDA tiketi ya Urais Bw. William Ruto awasili ktk jumba la Bomas jijini Nairobi kusikiliza matokeo ya Urais ktk kituo kikuu cha taifa kilichokusanya matokeo cha IEBC


William Ruto arrives at the Bomas of Kenya ahead of announcement of presidential results​

 
15 August 2022
Eldoret, Kenya

Wafuasi wa UDA ktk mji wa Eldoret bonde la Ufa wakifuatilia matokeo ktk Big screen, ambayo yanasomwa kutoka kituo cha taifa cha majumuisho ya kura za urais kilichopo jengo la Bomas jijini Nairobi, Kenya

 
15 August 2022
Kisumu, Kenya

Mjini wa Kisumu eneo la Nyanza nchini Kenya ukiwa mtupu kutokana na wakaazi wake kubakia nyumbani wakifuatilia matokeo ktk televisheni na radio zao ambayo yanatangazwa leo kutoka kituo kikuu cha majumuisho ya matokeo ya kura za urais cha IEBC kilichopo jengo la Bomas jijini Nairobi, Kenya

 
15 August 2022
Nairobi, Kenya

MGOMBEA WA AZIMIO LA UMOJA, BW. RAILA ODINGA NA MSAFARA WAKE KUWASILI JENGO LA BOMAS

Mgombea cha urais kupitia muungano wa AZIMIO bw. Raila Odinga naye anatarajiwa kuingia na msafara wake kutokea eneo la mabwanyenye wa Kenya la Karen lililopo mjini Nairobi Kenya.
 
15 August 2022
Nairobi, Kenya

Prof. George Wajackoyah and David Mwaure embrace after arriving at Bomas of Kenya​


 
15 August 2022
Nairobi, Kenya

LIVE : MATOKEO KUTOKA KITUO KIKUU CHA MAJUMUISHO YA MATOKEO YA URAIS


Matokeo hayo ya majumuisho ya kura za urais yanatangazwa na IEBC kutoka jengo la Bomas ambapo mawakala wa wagombea wa urais na maafisa wa IEBC wamekuwa wakihakiki fomu zilizowasilishwa kutoka vituo zaidi ya 40 000 ambapo wananchi wa Kenya walishiriki uchaguzi mkuu 2022 na leo ni siku ya kutangaza matokeo ya ngazi ya urais baada ya siku kadhaa ya kuhakiki kila fomu.
Source : Citizen TV Kenya
 
15 August 2022
Nairobi, Kenya

PRESIDENT - ELECT William Samoei Arap Ruto

 
15 August 2022
Bomas
Nairobi, Kenya

Wajackoyah, Ruto na Mwaure wataniana wakati wakisubiri matokeo rasmi yasome walipokutana katika jumba la Bomas mjini Nairobi Kenya

 
Back
Top Bottom