Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Kusubiri matokeo yatangazwe eti ndio watu waandamane itakuwa too late.Anajisumbua tu. Siyo Tanzania ya leo. Tume itamtangaza na tutaandamana. Wasifikiri TL ni Mbowe.
Hapa mnapaswa kwenda kupiga kura kwa wingi vituoni (sio kelele tu humu jamvini) then kuamini kwamba Mawakala huko ndani watasimama kidete kuhakikisha kura zinaandikwa kama zilivyo.
Akishatangazwa mtu hapo ujue maandamano yatazimwa kwa nguvu kubwa na most likely viongozi watakuwa wakihamasisha maandamano huku wao wamejifungia ndani