Big yesNi makosa madogo ulimi unateleza.
Ijapokua hana mvuto kabisa
Damu ya Ali Kibao inamtesa sana huyu dhalimuWakuu,
Inabidi wanaosimamia kampeni za Mgombea urais CCM wawewanamkaririsha vizuri hotuba maana anachapia sana.
Mgombea unachanganya maeneo ya nchi yako tena ndo upo ziara? hii ni aibu sidhani kama anaelewa anachohutubia
Kwani ni ngerengere ama ngorongoro? Nimeona ameomba samahani na kusahihisha ni ngorongoro
Hana mvuto wakati kawambia kuwepo kwake pale ni bahati kubwa kwa Wana Ngerengere! 😆😆Ni makosa madogo ulimi unateleza.
Ijapokua hana mvuto kabisa
Hahaha viongozi wetu wanajiona special sana!Hana mvuto wakati kawambia kuwepo kwake pale ni bahati kubwa kwa Wana Ngerengere! 😆😆
Mbona zinanipita mimiEpisode V waliifuta saa nane usiku lakini bahati nzuri wajuba walisha fanya yao teh...😜 britanicca
Huyu siyo mtanganyika, kuna majina nchini kwao ndo kayazoea. Mchambawima, Dole, makunduchi, kojani nk. Sasa haya ya kipogolo na kimasai ni ngumu kutofautiasha.Wakuu,
Inabidi wanaosimamia kampeni za Mgombea urais CCM wawewanamkaririsha vizuri hotuba maana anachapia sana.
Mgombea unachanganya maeneo ya nchi yako tena ndo upo ziara? hii ni aibu sidhani kama anaelewa anachohutubia
Kamteke bas mtoa mada!!Acha hizo
Kwani ni ngerengere ama ngorongoro? Nimeona ameomba samahani na kusahihisha ni ngorongoro
ameomba samahani na kusahihisha ni ngorongoro. Jamani Ngorongoro tena baada ya kusahihisha? Kama hawezi aite Morogoro basi
Hata mimi zinanipita mkuu, ebu ukiziona tuwe tuanstuana...😜Mbona zinanipita mimi