Only 1 Kalu
Member
- Sep 16, 2018
- 53
- 30
Wapo hivyo kwa sababu ya mazingira mabovu ya kazi
kama huna takwimu thread yako ni ya kufikirikaSina takwimu, lakini wanamchango mkubwa.
Mkuu unaishi wapi? Wakati wa kuomba kura wanasema lolote. Ukitaka waseme watarudisha FAO LA KUJITOA, WASTAAFU WATALIPWA PENSION YOTE watasema tuu. Wakipata madaraka, watasema fao la kujitoa na pension za wastaafu zimelipwa kupitia fly over, elimu bure nk.Kwa yeyote anayetarajia kugombea urais 2020, aidha nje ya kijani au ndani, chukua huu ushauri.
Ahidi kurudisha fao la kujitoa, lakini pia pindua ile 25% papo hapo na 75% ukiwa umefariki.
Nakuhakikishia hata vikitoa mgombea mambo yatakuwa yaleyale.utaahidi ukiwa mgombea ila ukiingia utakuta mambo sivyo udhaniavyo ndo utajua ni kwanini kanga au vitenge havizuiwi chuo kikuu lakini hutaona mtu kajifunga
Kila kitu duniani huanza kwa kufikirika. Waliotengeneza magari mpaka ndege, walianza kufikirika kwanza.kama huna takwimu thread yako ni ya kufikirika
Mtanzania gani wa kawaida anajua fao la kujitoa?