AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,217
Ndugu Theofily Kweyamba maarufu kama Lowassa mgombea wa udiwani CCM kata ya Kayanga wilaya ya Karagwe amefariki ghafla wakati akienda kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa nafasi ya udiwani.
Mpaka sasa haijafamika chanzo cha kifo chake
Poleni wafiwa wote
Mpaka sasa haijafamika chanzo cha kifo chake
Poleni wafiwa wote