Milion 500 za mbunge baada ya five yrsNarudia Tena siasa Ni Mchezo mchafu.
Ukiamua kuingia huko Basi jua muda wote uhai wako unahitajika kwa mtu au watu Fulani.
Siasa siyo taasisi ya dini Bali Ni uwanja wa mapambano Ila zisitufanye tuumizane na kuuana Sisi kwa Sisi.
Kuna maisha nje ya siasa wakuu.
Ukiamua kuingia huko Basi jua muda wote uhai wako unahitajika kwa mtu au watu Fulani.
Siasa siyo taasisi ya dini Bali Ni u
Oo nywaneebheAlilewa akaanguka kwenye ngazi, kisha form zikapeperushwa na upepo?!!
Hata angekuwa wa chama chochote hii sio jambo dogo !! Hii nji mnaipeleka pabaya sana kwa style hii.Who is behind all this cruelity?