tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Simon Ngilisho, amewatoa angalizo kali baadhi ya wanasiasa na wanaharakati anaodai kuwa wanatengeneza matukio yenye lengo la kuharibu taswira ya amani ya Tanzania.
Soma pia: Mpina (ACT) na CHAUMMA ni projects za watu
Soma pia: Mpina (ACT) na CHAUMMA ni projects za watu