GE2025 Mgombea ubunge wa Chama cha MAKINI Arusha awaonya Heche na Maria

GE2025 Mgombea ubunge wa Chama cha MAKINI Arusha awaonya Heche na Maria

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Simon Ngilisho, amewatoa angalizo kali baadhi ya wanasiasa na wanaharakati anaodai kuwa wanatengeneza matukio yenye lengo la kuharibu taswira ya amani ya Tanzania.

Soma pia: Mpina (ACT) na CHAUMMA ni projects za watu

 
Back
Top Bottom