DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea ubunge Same Magharibi Mkoa wa Kilimanjaro kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Gervas Mgonja, ametumia mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 17,2025 katika uwanja wa Cooperative, kumnadi mgombea udiwani wa Mhezi jimboni humo kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anthony Ishike (kulia). Chaumma hakina mgombea udiwani katika kata hiyo.
Pia Soma: GE2025 - Mgombea urais CHAUMMA amnadi mgombea udiwani ACT Wazalendo
Pia Soma: GE2025 - Mgombea urais CHAUMMA amnadi mgombea udiwani ACT Wazalendo