Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
mmh.. hiyo ina sound like a classic case of brain aneurysm..
may be then!......ruptured causing cerebral haematoma...death
mmh.. hiyo ina sound like a classic case of brain aneurysm..
Mwaka wa sheteni ama mwaka wa mauaji katika uchaguzi? Mwanza nako Katibu CCM alishwa sumu, watauana sana mwaka huu
Habari toka redio maria saa nne usiku huu, nimesikia mgombea udiwani kata ya nduruma amefariki ghafla baada ya maumivu makali ya kichwa tangu alipopitishwa na chama chake. Maumivu hayo yalisababisha alazwe hospitali ya Rufaa KCMC. Hadi mauti yalipomfika leo. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na kuipa fatraja familia yake katika kipindi hiki kigumu.
Je rais ataudhuria mazishi jumamosi ili apate huruma ya jamii?????????[/QUOTE]
Ndiyo zake.