Ifike hatua wananchi tusimame imara tukombea taifa kutoka mikononi mwa fisi mla watu.
Hata wana CCM tuungane kwenye nrne kwa sababu kama inadaiwa wagombea wanatumia rushwa je, inawezekanaje aende bungeni akutetee?? Anaenda kurudisha mtaji aliowekeza kwanza hawezi kukubali hasara kwenye uwekezaji.
Hili ni janga ambalo CCM wamelizalisha siasa biashara tusipokomaa twafaaaaaa. Katiba ya Mzee warioba ni sasa watu mill 65 tusiburuzwe na watu wachache.
Hata wana CCM tuungane kwenye nrne kwa sababu kama inadaiwa wagombea wanatumia rushwa je, inawezekanaje aende bungeni akutetee?? Anaenda kurudisha mtaji aliowekeza kwanza hawezi kukubali hasara kwenye uwekezaji.
Hili ni janga ambalo CCM wamelizalisha siasa biashara tusipokomaa twafaaaaaa. Katiba ya Mzee warioba ni sasa watu mill 65 tusiburuzwe na watu wachache.