Mgombea atoa machozi

wenye mgando cku zote huwa wamelizka na walichonacho ila kwa ambao hawachoki mabadiliko huwa wanapambana mwanzo mwisho.............tuwe watu wa mfano bila kukaa sehemu moja ...
 

Wapi huko alikoangusha mchozii
 

Jipe moyo
 
Kama unaona hakuna umuhimu wa kuwepo mtu ikulu Si unashauri na Magufuli waachane nako.Mbona unamuacha anahangaika majukwaani.Hoja yako Ni hoja mfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…