Abbyrutha
Senior Member
- May 29, 2019
- 190
- 275
Si ndo hapo....nini maana ya muunguniko sasa? Mbususu na dyudyu tu?
Lazima tushare family developments, mishahara unakaa mezani hutaki sepaa
Si ndo hapo....nini maana ya muunguniko sasa? Mbususu na dyudyu tu?
Lazima tushare family developments, mishahara unakaa mezani hutaki sepaa
Kuna wanawake wana roho ngumu Sana huruma haipo kwa waume zaoSi ndo hapo....nini maana ya muunguniko sasa? Mbususu na dyudyu tu?
Lazima tushare family developments, mishahara unakaa mezani hutaki sepaa
Umeona eeh!Kila mtu na roho yake, Niko maskini lakini mali na pesa hazinipelekagi mputa mputa sijui nina kaujinga, naona km mke kakosea sababu walikubaliana kiroho safi kubadilika mwishoni maana yake Ni utapeli uhuni na wizi kwa mume wake,, narudia Tena mume wake wa ndoa😲 aisee poleni wanaume baadhi mko gerezani
Wanawake sio ndugu zetu, ni washirika wa maisha. Sasa baadhi yetu tunadhani wanaweza kuguswa na matatizo ya faimilia zao.Kuna wanawake wana roho ngumu Sana huruma haipo kwa waume zao
Saana....Kuna wanawake wana roho ngumu Sana huruma haipo kwa waume zao
Ndio nyie mnaoa kwa target sijakataa mke na mume kupanga matumizi ila suala la kuchukua mkopo et tuwajengee wazazi wako siwezi fanya huo upuuzi,Uvulana? Huu ni ulimbukeni! Yaani ww mke wangu afu unifinyie pua eti huu ni mshahara wangu ni huna mamlaka nao...seriously! Utajikuta upo kwenu bila kuelewa umefikafikaje!? Mke kusanya chochote ukusanyacho weka mezani nitoe 'approval' ya matumizi yake! Ofcourse kwa jinsi navyokupenda, maamuzi yangu hayatakuwa kandamizi wala dharirishi! Vinginevyo ishi peke yako ujiamlie mwenyewe maisha yako!
Ndo inatakiwa hivyo Sasa unakuta mkaka wa watu hajakupiga tukio hata mara moja lakini mke anakuwa mchoyo mchoyo na mroho km hivi Ni aibu Sana YaniSaana....
Mi labda mwanaume uwe mshenzi ndo nami nakuzingua, lkn unafata majukumu yako fresh aaaah utafurahi
Huyu ni mke wangu kabisaaaaa. Yan ukiwa humzingui unafurahia maisha, ila ukimvuruga asee anakua sio kabisa halafu hajali. Nishamuelewa nakula mema ya nchi.Saana....
Mi labda mwanaume uwe mshenzi ndo nami nakuzingua, lkn unafata majukumu yako fresh aaaah utafurahi
Wanawake wengi wako hivo mkuuHuyu ni mke wangu kabisaaaaa. Yan ukiwa humzingui unafurahia maisha, ila ukimvuruga asee anakua sio kabisa halafu hajali. Nishamuelewa nakula mema ya nchi.
Nikijua nimezingua, najua suluhu haiwezi toka kwake lazima mimi nipambane niweke mambo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihiMke ana point. Kila mtu awajibike kwa wazazi wake. Binafsi wala siwezi mwomba mume wangu ajengee wazazi wangu. Ugomvi mwingine wakujitakia.
Hakuna kitu kinachoitwa mwili mmoja. Na haitakaa itokee
Dah awali nilijua hanipendi nini, lakin mbona kama zijamzingua tunafurahia maisha to the maximum.Wanawake wengi wako hivo mkuu
Kiukweli baadhi yetu wanawake tunatia aibu, huyu hashindwi kumuua mume sababu ya mali na pesaWanawake sio ndugu zetu, ni washirika wa maisha. Sasa baadhi yetu tunadhani wanaweza kuguswa na matatizo ya faimilia zao.
Hapana, hayo ni yetu hayawahusu, ukimpata anaeguswa Mungu amekubariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume haoi kwa 'target' ya uchumi...huyo ni mvulana anayetaka kuletewa na kulelewa! Mwanaume anaoa kwa kumpenda mwanamke! Na mke wa kweli atamsikiliza kwanza mumewe kabla ya kufanya maamuzi yoyote hata kama anayo mamlaka nayo! Hii ni ishara ya utii kwa mumewe! Mumewe akikataa mwanamke anazo njia nyingi sana za kumshawishi mumewe akakubali kuyafanya anayotamani yafanyike bila mikwaruzano wala valangati!Mxiuuuu,ndio nyie mnaoa kwa target sijakataa mke na mume kupanga matumizi ila suala la kuchukua mkopo et tuwajengee wazazi wako siwezi fanya huo upuuzi,
Vitu vitatu ni chanzo cha uvunjifu wa ndoa:Katika vitu huwa namshukuru Mungu kaninyima roho ya uroho wa vitu,
Shukrani kwa kunijuza nitajitahidi hapo kwenye 1 nisiyumbe huko kwingineko sipoVitu vitatu ni chanzo cha uvunjifu wa ndoa:
1. Kukosa uaminifu kwenye unyumba
2. Kukosa uzao/watoto
3. Ubinafsi ktk Mali
Upo vizuri sana! Sahihisha hapo ulipo kwenye moja na Mungu akuwezeshe, amen🙏!Shukrani kwa kunijuza nitajitahidi hapo kwenye 1 nisiyumbe huko kwingineko sipo
Kwenye moja naweza kuingia akinivuruga napo awe kanivuruga kweli maana naelewa madhara yake, vinginevyo sina fujo kabisa lipokuja suala la mumeUpo vizuri sana! Sahihisha hapo ulipo kwenye moja na Mungu akuwezeshe, amen🙏!