Mgogoro wa Namanga kati ya Kenya na Tanzania utazamwe sana, sio haki

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Katika mambo ya hovyo yanayofanywa na Kenya dhidi ya Watanzania havikubaliki

Watu wananyanyaswa na kubaguliwa sana wakiitwa "corona"

Matunda yanaozea njiani bado huduma za msingi zinazuiliwa watu wanakula hasara tu "perishable goods" zinawaharibikia watu halafu upande wa Kenya inaonekana wana matatizo sana na inawanyanyasa watanzania na kuwabagua.

Hili halikubaliki hata kidogo; kuna haja ya serikali kuchukua hatua kali dhidi ya kenya maana hii ni too much.
 
Kenya wao waliamua kupambana na Corona kwa nguvu zote wakati Tanzania waliamua kuipuuza Corona.Sasa huoni kuwa Kenya wasipokuwa wakali na kuwa makini Tanzania itarudisha juhudi zao za kupambana na Corona nyuma?

Hili linahitaji uwe na PhD kulijua?Kenya wanawaita Tanzania "Corona" kwa sababu Watanzania hawapo serious katika kupambana na Corona. Sasa hapo utasema ni ubaguzi?

Kuambiwa ukweli ni ubaguzi? Viongozi wengi wa Tanzania wana akili za kimasikini kama za kwako ndiyo maana mambo huwa hayaendi hapa nchini. As simple as that!
 
Last month tuliingia apo na gari ya maparachichi wakafunga mpaka tukamwaga tukarudi zetu

Mtaji wa bro ukayeyuka wote.

Alafu wao wanaruhusiwa kuingia uku bila shida.

Sometimes ukiendekeza diplomacy unumia mwenyewe.
 
Kenya wao waliamua kupambana na Corona kwa nguvu zote wakati Tanzania waliamua kuipuuza Corona.Sasa huoni kuwa Kenya wasipokuwa wakali na kuwa makini Tanzania itarudisha juhudi zao za kupambana na Corona nyuma?

Hili linahitaji uwe na PhD kulijua?Kenya wanawaita Tanzania "Corona" kwa sababu Watanzania hawapo serious katika kupambana na Corona.

Sasa hapo utasema ni ubaguzi? Kuambiwa ukweli ni ubaguzi? Viongozi wengi wa Tanzania wana akili za kimasikini kama za kwako ndiyo maana mambo huwa hayaendi hapa nchini.As simple as that!
Hayo unayoyaita 'mapambano' yamewaletea hao wakenya wako mafanikio gani? Au ndio ile ya kufanya kwa mkumbo ili na wao waonekane wamefanya!

Ifike mahali na sisi waafrika tutumie akili zetu. Sio lazima tuige kila kitu toka kwa wazungu.
 
Hayo unayoyaita 'mapambano' yamewaletea hao Wakenya wako mafanikio gani? Au ndio ile ya kufanya kwa mkumbo ili na wao waonekane wamefanya!

Ifike mahali na sisi waafrika tutumie akili zetu.
Sio lazima tuige kila kitu toka kwa wazungu.
Huwezi kamwe kulazimisha sera ya nchi fulani ifanane na ya nchi yako.Kama wao wameamua kutumia sera fulani katika kupambana na Corona ni wao na nchi yao.

Na kama sisi Tanzania tumeamua kuipuuzia Corona ni sisi na nchi yetu.Sisi tunapaswa kuheshimu maamuzi yao kwa maana ya taratibu za kuingia Kenya na wao wanapaswa kuheshimu maamuzi yetu!

Kama itatokea ukataka Kenya wawe na sera fulani juu ya kupambana na Corona huo ni umbumbumbu kwa sababu huwezi kuingilia maamuzi ya nchi fulani juu ya jambo fulani.
 
Wewe naye mropkaji tu hata huelewi dunia inaendaje Kenya amepambana vipi na corona? Kwa kulala saa moja na kuamka saa kumi na moja?

Nyie watoto mliolelewa na single mother mpo km bata
Wewe ni mbumbumbu!Kenya wao waliamua kupambana na Corona kwa nguvu zote wakati Tanzania waliamua kuipuuza Corona.Sasa huoni kuwa Kenya wasipokuwa wakali na kuwa makini Tanzania itarudisha juhudi zao za kupambana na Corona nyuma?

Hili linahitaji uwe na PhD kulijua? Kenya wanawaita Tanzania "Corona" kwa sababu Watanzania hawapo serious katika kupambana na Corona.Sasa hapo utasema ni ubaguzi?Kuambiwa ukweli ni ubaguzi?

Viongozi wengi wa Tanzania wana akili za kimasikini kama za kwako ndiyo maana mambo huwa hayaendi hapa nchini. As simple as that!
 
Hawa vijana wa Chadema wengi ni wajinga labda walipatikana kwa bahati mbaya
Hayo unayoyaita 'mapambano' yamewaletea hao wakenya wako mafanikio gani? Au ndio ile ya kufanya kwa mkumbo ili na wao waonekane wamefanya!

Ifike mahali na sisi waafrika tutumie akili zetu. Sio lazima tuige kila kitu toka kwa wazungu.
 
Kwenda huko ndo wanyanyase watu wetu kiasi hicho?

Wewe hujui ni kiasi gank watu wamekula hasara hata usingesubutu kunyanyua pua yako kuongea pumba zako!
Kenya wao waliamua kupambana na Corona kwa nguvu zote wakati Tanzania waliamua kuipuuza Corona.Sasa huoni kuwa Kenya wasipokuwa wakali na kuwa makini Tanzania itarudisha juhudi zao za kupambana na Corona nyuma? Hili linahitaji uwe na PhD kulijua?

Kenya wanawaita Tanzania "Corona" kwa sababu Watanzania hawapo serious katika kupambana na Corona. Sasa hapo utasema ni ubaguzi?Kuambiwa ukweli ni ubaguzi?Viongozi wengi wa Tanzania wana akili za kimasikini kama za kwako ndiyo maana mambo huwa hayaendi hapa nchini.As simple as that!
 
Inauma sana hawa watu wana roho mbaya sana
Last month tuliingia apo na gari ya maparachichi wakafunga mpaka tukamwaga tukarudi zetu

Mtaji wa bro ukayeyuka wote.

Alafu wao wanaruhusiwa kuingia uku bila shida.

Sometimes ukiendekeza diplomacy unumia mwenyewe.
 
Wewe naye mropkaji tu hata huelewi dunia inaendaje
Kenya amepambana vipi na corona ? Kwa kulala saa moja na kuamka saa kumi na moja ?

Nyie watoto mliolelewa na single mother mpo km bata
Huyo Ni wale "nimeshashiba sasa ngoja nitafute maskani tuanze kuilaumu serikali" amekaririshwa kupinga tu
 
Last month tuliingia apo na gari ya maparachichi wakafunga mpaka tukamwaga tukarudi zetu

Mtaji wa bro ukayeyuka wote.

Alafu wao wanaruhusiwa kuingia uku bila shida.
Sometimes ukiendekeza diplomacy unumia mwenyewe.

Kinacho luhusiwa kuingia huku ni bidhaa za watanzania ambazo tayali walishazilipia cash kwa hiyo ukizuia magari ya yanayotokea kenya kuiingia Tanzania ...unabaki kuwaumiza wafanya biashara wa Tanzania mana wao ndio wanamali
 
Katika mambo ya hovyo yanayofanywa na Kenya dhidi ya Watanzania havikubaliki

Watu wananyanyaswa na kubaguliwa sana wakiitwa "corona"

Matunda yanaozea njiani bado huduma za msingi zinazuiliwa watu wanakula hasara tu "perishable goods" zinawaharibikia watu halafu upande wa Kenya inaonekana wana matatizo sana na inawanyanyasa watanzania na kuwabagua.

Hili halikubaliki hata kidogo; kuna haja ya serikali kuchukua hatua kali dhidi ya kenya maana hii ni too much.
Heshimuni taratibu za watu wengine, achene ujanja wenu
Mmetangaza maabara zenu haziaminiki halafu mnataka wakenya waziamini
 
Katika mambo ya hovyo yanayofanywa na Kenya dhidi ya Watanzania havikubaliki

Watu wananyanyaswa na kubaguliwa sana wakiitwa "corona"

Matunda yanaozea njiani bado huduma za msingi zinazuiliwa watu wanakula hasara tu "perishable goods" zinawaharibikia watu halafu upande wa Kenya inaonekana wana matatizo sana na inawanyanyasa watanzania na kuwabagua.

Hili halikubaliki hata kidogo; kuna haja ya serikali kuchukua hatua kali dhidi ya kenya maana hii ni too much.
Kwani lazima muende huko?
 
Back
Top Bottom