Mgogoro wa Israel na Palestina kumalizwa na Papa Fransis, Amani kurejea sasa

waisrael hawana hamu na gaza,si waliitema.gaza kabla ya mwaka 1967 ilikua chini ya egypt.baada ya vita wakaiteka,vita vilipoisha yakawepo mazungumzo wakataka kuirudisha kwa egypt.EGYPT wakaikataa.

Ikabidi iwe chini ya utawala wao lakini mwaka 2000 waliitema katika walichokiita,unilateral disengagement,na hiyo ilitokana na mashambulizi ya hamasi kupeleka kuwa gharama kutawala eneo hilo kwamaana ya cost and blood.wakaondoa vikosi vyao na kuviweka nje ya gaza.
Israel inaendeleza ujenzi katika maeneo ya wapalestina kule east jerusalem katika jitihada ya kuongeza population yao katika mji huo ili baadae wawe majority na hivyo kujustify kuwa mji wao.
Na pia baadhi ya maeneo ya westbank.
Hapo najiuliza nchi yao ya ahadi ni hipi maana wale jamaa inaonekana kabisa kwamba MUNGU aliwapa adhabu ndiyo maana wanahishi mazingira ya kutanga tanga
 
1Wathesalonike 5:2-3 "Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja kama vile wivi ajavyo usiku wakati Wasemapo kuna amani na usalama ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula kama vile utungu umjiavyo mwenye mimba wala hakika hawataokolewa."

Waione: Ntuzu, Basluma Original Eiyer na wengineo


Asante sn dada yng charminglady kwa neno Lakota zuri! Labda niseme kitu kimoja! Kila papa anakua na mikakati na malengo ya kufanya! John Paul Wa Pili yeye alipeleka nguvu zake nyingi sn ktk Ukoministi na alifanikiwa sn ktk Hilo! Benedict Wa 16 hakuweza kutimiza malengo yake hasa ktk kuleta umoja na Amani ktk Jamii ya kiarabu na kwa ulimwengu wote kwa ujumla hasa lengo Ni kuulenga uislamu! Kwahiyo hii kz Ndio inafanywa na Huyu Frances atafika mbali ktk hili ili kuleta umoja na kutimiza malengo Yao na ndipo uharibifu utakapotokea km Dada CharmingLady alivyosema ktk Hilo andiko!
 
Last edited by a moderator:
Hapo najiuliza nchi yao ya ahadi ni hipi maana wale jamaa inaonekana kabisa kwamba MUNGU aliwapa adhabu ndiyo maana wanahishi mazingira ya kutanga tanga
walichofanya waisrael ni kuchukua maeneo yote ya iliyokua israel kingdom na kuyaacha maeneo ya iliyokua judea kingdom ,yaani nchi ya yuda,ambayo unayapata maeneo kama west bank,bethelehem etc.

Sasa lengo lao kubwa ni kuuweka mji wote wa jerusalemu chini ya mamlaka yao,ukumbuke east jerusalem bado inachukuliwa kama occupied territory na jumuia ya kimataifa,ndo maana wanakazana kujenga huko.
 
Shimon Peres hana mamlaka ya kukubaliana lolote kwa niaba ya Israel. Mazungumzo yoyote juu ya mgogoro huo kati ya Abbas na Shimon Peres ni sawa tu na mazungumzo ya kwenye kahawa...hayana mafungano kwa yeyote..

Hilo ndio tatizo kuu.......hawezi kuamua lolote.....
 
1Wathesalonike 5:2-3 "Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja kama vile wivi ajavyo usiku wakati Wasemapo kuna amani na usalama ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula kama vile utungu umjiavyo mwenye mimba wala hakika hawataokolewa."

Waione: Ntuzu, Basluma Original Eiyer na wengineo
Asante sana charminglady kwa kuniita katika uzi huu, kiukweli si kwamba anaenda kusuluhisha, lakini anakwenda kuwaambia wakati wa kusitisha umefika, maana naamini Vatican ndio wana mkono katika mambo mengi yanayotokea ulimwenguni kwa kuficha sana nyuma ya motto wao Freemason na Illuminant.
 
Last edited by a moderator:
solution ni israel kuacha ujenzi wa makazi mapya ya wahudi na kuondoka maeneo ya wapalestine wanayokalia kwa nguvu
 
hakuna
mpaka Yesu Arudi na wengi wanatimiza unabii Kuwa na nguvu ya ushawishi .biblia inasema roho ya mpinga kristo atakuwa na nguvu kubwa ya upatanisho lakini mwishoni moto utawaka na mataifa yote yataungana kumtwanga Israel hiyo ndiyo vita vya hamagodon mwanaume waliyesema harudi watamtambua siku hiyo akimtwanga mpinga kristo name jeshi lake lote
 
1Wathesalonike 5:2-3 "Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja kama vile wivi ajavyo usiku wakati Wasemapo kuna amani na usalama ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula kama vile utungu umjiavyo mwenye mimba wala hakika hawataokolewa."

Waione: Ntuzu, Basluma Original Eiyer na wengineo

Hakika nimeiona mrembo!
 
Asante sn dada yng charminglady kwa neno Lakota zuri! Labda niseme kitu kimoja! Kila papa anakua na mikakati na malengo ya kufanya! John Paul Wa Pili yeye alipeleka nguvu zake nyingi sn ktk Ukoministi na alifanikiwa sn ktk Hilo! Benedict Wa 16 hakuweza kutimiza malengo yake hasa ktk kuleta umoja na Amani ktk Jamii ya kiarabu na kwa ulimwengu wote kwa ujumla hasa lengo Ni kuulenga uislamu! Kwahiyo hii kz Ndio inafanywa na Huyu Frances atafika mbali ktk hili ili kuleta umoja na kutimiza malengo Yao na ndipo uharibifu utakapotokea km Dada CharmingLady alivyosema ktk Hilo andiko!

Kuna jambo nalifuatilia nikilikomfemu nitalileta hapa

Ila nasema tu kuwa wakati umebaki mchache sana!
 
Tatizo la kutegemea mainstrem media....

Nimetoka kuangalia documentary moja baada ya kushawishiwa na mtu ninayemheshimu...maana sikuwa na interest na huu mgogoro...

Yani media hasa ya US (kama CNN) imewa brainwash wamarekani na dunia kwa ujumla kuhusu huu mgogoro...

Kwa ufupi anachofanya Israel hakikubaliki....ana occupy land ya Wapalestina kwa kutumia majeshi yake...

Anawaua kama kuku; lakini akifa Muisrael mmoja CNN watatembelea mpaka familia yake kuonyesha wanavyolia kwa loss...
Israel ikiua utasikia wame retaliate Palestina wakiua wame attack...(huu ni mfano wa bias framing)

Ndani ya Israel kwenyewe kumekuwa na maandamano ya wataka amani wanaotaka Israel iondoke Palestina lakini hakuna hata mainstream media inayorusha hayo...

Kuna wanajeshi kadhaa wa Israel wamehasi kwa kuwa wameona si haki kukalia Palestina na kuua hovyo...wamepigwa mvua za maana...na haya hakuna media inatangaza...

Wanasema at least BBC iko more neutral...

US inahitaji Israel iendelee kufanya ifanyalo kwa kuwa inampa uhakika wa ku dominate nchi za Kiharabu kibiashara na amekuwa akiipa msahada mkubwa kijeshi ili iwe tishio kwa nchi zote za kiharabu...ambazo wanazitegemea kwa mafuta...

Hii ni vita ya kibiashara upande mwingine na ndio interest ya US ilipo...

UN resolution imekuwa ikizuiwa na US kutumia kura ya VETO

Na hii documentary imetengenezwa na ma activist wa Kimarekani wakioji pia ma professor gulu wa masula ya Conflict...nadhani baada ya kuona media imeshikiliwa na Israel wameamua kutafuta other channels za kutuelimisha...Yni nimeiangalia huku nafumba macho wakati mwingine...


Mungu Ibariki Dunia
No he won't, The problem is that Palstines would demand for more places
 
images
images

Vatican
download (1).jpg download (3).jpg download (4).jpg images (2).jpg

Muslims, Jews, Christians to pray together at the Vatican

Pope Francis hopes an unprecedented meeting of the Israeli and Palestinian presidents at the Vatican on Sunday can help end “eternal negotiations” and lead to peace but he has no wish to meddle in Middle East politics, the Vatican said on Friday.

Israel’s Shimon Peres and Palestinian leader Mahmoud Abbas will spend about two hours in the Vatican gardens at an intricately planned service that will include prayers and meditations by Jews, Christians and Muslims in each other’s presence.

The two presidents will pray for peace together following a surprise invitation made by Francis during his visit to the Holy Land last month. “This is a moment to invoke God for the gift of peace. This is a pause in politics,” said Father Pierbattista Pizzaballa, a Church official in charge of Catholic sites in the Holy Land and a key organizer of Sunday’s encounter.


“This is also an invitation to politicians to pause and look heavenward,” Pizzaballa told a Vatican briefing. “Everyone wants something to happen, something to change. Everyone is tried of these eternal negotiations that never end …”


The pope, Peres and Abbas will read individual invocations for peace, shake hands and plant an olive tree in the gardens. Patriarch Bartholomew, the spiritual head of the Orthodox Church, will also attend.


“Making people dream”

Francis’ invitation is one of his boldest political gestures since his election March, 2013, but the Vatican has played down suggestions that the move is a bid by the pontiff to directly enter the Middle East peace process. “The pope does not want to get into the political questions of the Israeli-Palestinian conflict that we all know about in the smallest of details from A to Z,” Pizzaballa said. The meeting is taking place more than a month after US-led peace talks collapsed amid bitter mutual recrimination and Pizzaballa said the pope hoped the Sunday encounter could inject the leaders with a new will for peace.

“Pope Francis will never get involved in discussions about borders or settlements but his intention is to help create the social and religious atmosphere where it (peace) can come about,” he said. “No one thinks peace will break out on Monday. The intention of this initiative is to re-open a road that has been closed for some time, to re-create a desire, a possibility, to make people dream,” he said. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, the key Israeli decision-maker, will not be at the prayer meeting. President Peres, who is aged 90, is due to leave office in July, taking him out of the political picture.

The Vatican stressed that each president will be present not just as a Jew or as a Muslim but as a leader who counts Jews, Christians and Muslims among the citizens of his country. “There will be no political speeches but each will pray for peace as individual believers,” Pizzaballa said, adding that the structure of the prayer for each group would be identical to show that they are “children of the same God”.
 

Attachments

  • KC_20140605_life_Pope_Francis.com_840_566_100.jpg
    KC_20140605_life_Pope_Francis.com_840_566_100.jpg
    35.1 KB · Views: 169
  • download (2).jpg
    download (2).jpg
    4.5 KB · Views: 161
  • Palestinian-leader-hints-at-opposition-to-plan-M0DOO3K-x-large.jpg
    Palestinian-leader-hints-at-opposition-to-plan-M0DOO3K-x-large.jpg
    24.3 KB · Views: 168
  • images.jpg
    images.jpg
    4.7 KB · Views: 162
  • Pope-Francis-Facebook-Dove.jpg
    Pope-Francis-Facebook-Dove.jpg
    29.2 KB · Views: 170
Huu ni ushujaa usio wa kawaida kwa mazingira na uhasimu walio nao mataifa haya mawili hatua ambayo pengine itasaidia kujenga undugu zaidi ya uadui kwa nguvu ya sala.
 
Wapalestina watawekwa busy hadi dunia ipate dawa ya mafuta, dawa ya kuweza wakinga wasio waislam ktk hizo nchi za wapiga jihad..then wataambiwa wazi hii ndio NEW WORLD ORDER.
 
Inapendeza sana.....Pope Francis kweli nimeamini anaushawishi mkubwa sana....

Ipo siku tutasikia machafuko Mashariki ya kati yamekwisha....
 
Huu ni ushujaa usio wa kawaida kwa mazingira na uhasimu walio nao mataifa haya mawili hatua ambayo pengine itasaidia kujenga undugu zaidi ya uadui kwa nguvu ya sala.

Dahh...Mkuu hata mm sijaamini kabisa....Huyu Pope Francis hakika ni shujaa wa Karne.
 
Uwongo mtupu Israel haina ahadi za kweli. Hakutakuwa na amani yoyote baina ya Israel na Palesine, never. 🎷
 
Back
Top Bottom