Mgogoro mpya waibuka ndani ya CHADEMA Mwanza

Mgogoro mpya waibuka ndani ya CHADEMA Mwanza

Hiki chama kikopona basi kitaendelea kuwa kiwete.
 
Kila kukicha mawazo yenu ni chadema.
Mtahangaika sana, chadema inasonga.

Nyie endeleeni kubaka yatima na kuwaambukiza ukimwi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Umeziona picha za Lema?
 
Kila siku nasema humu jf kuwa chadema walianza na shetani watamaliza na shetani.

Ukiona unasema, kila siku unarudia kitu hichohicho na watu hawapepesi macho wala masikio, cha kufanya ni kujichunguza na kujiangalia upya inawezekana wewe mwenyewe ndiye shetwain!!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!!!!!
 
Mtakufa wewe sio chadema tuko imara acha ushamba mtoa mada kajipange upya wewe ni gamba usituenjoy wewe gamba
 
Mungi hongera umeongea point hawa ccm wajimba cdm wakiamka cdm bila kuandika chadema hawawezi tulia waache kiereere na lichama lao la zamani limechoka ndyo akili yao imechoka mtoa mada kajipange upya
 
!
!
hebu aliyesoma yote afanye ufupisho jamani,maana mambo ya migogoro ya chadema nimechoka nayo sihitaji kusikia naumia moyo tu....na hili bandiko reeeeeeefu natamani kulisoma lakini ni refu sana msaada tafadhali

if you want to hide something to TANZANIANS, put in writtings (books)
 
Makala ya mwaka 2011, Mwandishi Magafu alifukuzwa na kuhama CCM, Mushumbusi Wilson alisimamishwa ukatibu wa Mkoa tangu 2011, leo unaweka kama ni story ya jana aibu .....

Anapotosha.Dr.Slaa aliahidi mchakato wa Katiba Mpya kuanza ndani ya Siku 100 ba sii katiba Mpya kupatikana ndani ya siku hizo
 
chadema lazma ifikie kipindi tukubal kukosolewa, kila ikitoka mada ya kukosoa majitu yanaponda tu.
 
...kwa hiyo ndo mmeigeuza JF dampo,takatakata zote mnazozalishwa Lumumba mnakuja kuzibwaga hapa!?...

Haka kajamaa ni kazezeta kengine hakana cha maana cha kuandika zaidi ya uzushi tu.
 
Back
Top Bottom