Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kuna habari kuwa wakenya wamefunga mpaka na kuzuia magari yote yanayoingye Nchini Kenya,habari zenye
utata mkubwa ni kuwa wakenya hao wamefunga mpaka kwa kutumia magari makubwa semi trailars.awatendewi haki
Madai yao ni kuwa hawatendewi haki waingiapo TZ ,na wanatoleshwa ushuru wa dola 200 za kima wa rekani wakati wenzao waKiTZ hawalipi hela hiyo.
Je hizi dola mia mbili zinaingia serikalini au ni ule uzoefu wa kupata chochote ili uvuke mpaka ? Na sasa zinataka kutokea puani.
utata mkubwa ni kuwa wakenya hao wamefunga mpaka kwa kutumia magari makubwa semi trailars.awatendewi haki
Madai yao ni kuwa hawatendewi haki waingiapo TZ ,na wanatoleshwa ushuru wa dola 200 za kima wa rekani wakati wenzao waKiTZ hawalipi hela hiyo.
Je hizi dola mia mbili zinaingia serikalini au ni ule uzoefu wa kupata chochote ili uvuke mpaka ? Na sasa zinataka kutokea puani.