Smatta
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 2,350
- 730
Wakenya hawana uwezo wa kupigana vita na watz, uwezo wao umeishia kwa al shababu na mungiki...hata hivyo, hilo ni tatizo dogo sana kwa east africa....hakuna siku hata moja kenya and tz watapigana...kupigana ni uamuzi unaochukua busara na tafakari nzito,si haraka haraka tu.
hahaha, Tanzania haina hata jeshi jamani,... hahahaha.. keep on dreaming sir, GSU tayari itawatoa kijasho