nyondoloja
Senior Member
- Nov 10, 2010
- 189
- 52
Kutokana na kitendo walichokifanya UVCCM jana..cha kukemea na kukosoa viongozi wa serikali inayoongozwa na CCM, kuhusu kuilipa deni la DOWANS, bila kufuata taratibu kama kanuni zinazoongoza "jumuia" hiyo zinavyoelekeza, basi ni halali wahusika wote walioshiriki mpango huo watimuliwe katika nafasi za uongozi wanazozishikilia katika "jumuia" hiyo. Mimi binafsi sikubaliani na uamuzi wa kulipa deni la DOWANS, kilichonisukuma kutoa hoja hii ni ukiukwaji wa kanuni za UVCCM.Nawasilisha hoja kwenu WanaJF.
Ilakuilipa downs sikukiuka Kanuni? Nakamanikukiuka alietamka naaetakakutuibia mabilioni zitonilipi?