PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
asante mkuu wangu kwa kunipa shule japokuwa kiswahili kwangu kigumu sanaMheshimiwa ni "Hamu" siyo "ammu" au ukipenda "hashiki"
asante mkuu wangu kwa kunipa shule japokuwa kiswahili kwangu kigumu sanaMheshimiwa ni "Hamu" siyo "ammu" au ukipenda "hashiki"
Huyu Mhariri na Mwandishi wa habari hii sijui nao walivuta Ngapi?!!! wizi mtupu.
Kaka hembu tupe ripoti yenyewe ya CAG acha utetezi wa Magazeti
chezea lowassa kwa kuonga wewe utanyea debeWala sio UKAWA pekee walotengenezwa, hata sisi Tanzania kwanza tunahaha kuhusu yule ambaye TWAWEZA walimweka mbele ya wote.
mkuu tusubiri mpaka tarehe 26 tusiwe na haraka nayoKaka hembu tupe ripoti yenyewe ya CAG acha utetezi wa Magazeti
Wala sio UKAWA pekee walotengenezwa, hata sisi Tanzania kwanza tunahaha kuhusu yule ambaye TWAWEZA walimweka mbele ya wote.
Mamnde, mimi nilipata mgao mkubwa sana!, ndio maana unaona jinsi ninavyomtetea Singa Singa humu jf!.Pasco eti ni kweli kuwa na wewe uliambulia mgao?
umesoma Management Letters zake za nyuma hujakuta hiyo hoja?btw hoja yako nini hasa kwa CAG regarding kwamba ameonyesha overpayment sasa
tulipokua wadogo kijijini kulikua na kadawa flani kakuzima msala/kesi,unaenda kunya kichakani af unafunika kinyesi kwa hayo majani ya mti flani hivi,kama hukwenda shule basi baba anakua mpole tu hupigwi au kama kuna kosa umefanya unsamehewa tu from nowhere.Mi nadhani wahusika mkatafute tu hakuna ujanja.
Membe kawambia report ile ya kupika hamna kitu, na kusema ukweli ukiona eti wa kwanza ana 13,12 na 11 usanii mtupu
Mamnde, mimi nilipata mgao mkubwa sana!, ndio maana unaona jinsi ninavyomtetea Singa Singa humu jf!.
Zile bahasha zetu kwa kawaida huwekewa 20,000/= tuu!, mimi nilipewa 50,000/= ambazo ni pesa nyingi sana, na haswa ukizingatia naandikia jf media pekee!, sii haba!, hiyo 50,000= kwa hesabu ya ile heavy lunch yangu ya muogo kwa maji ya mia!, 50,000 ni lunch ya robo mwaka na siku 10 zinabaki!.
Mini ni tajiri!, usipime!.
Pasco.