Mgogoro ACT - Wazalendo: Zitto kumpindua Mwigamba?

Mgogoro ACT - Wazalendo: Zitto kumpindua Mwigamba?

BIGURUBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
6,748
Reaction score
4,257
Gazeti la Mawio la leo tarehe 12/11/2015 limeripoti kuwa kuna sintofahamu kubwa ndani ya chama cha ACT-wazalendo...inaelezwa kuwa Zitto anataka kumpindua Samsoni Mwigamba.

Uchunguzi unaonyesha kuwa mapinduzi hayo, katika uongozi yanapaswa kukamilika ndani ya miezi minne kutoka sasa.

attachment.php

 

Attachments

  • unnamed.png
    unnamed.png
    38.6 KB · Views: 3,266
Atampinduaje mtu asiye na cheo?
Prof Kitila si mshauri tu au?
Au tatizo karuzuku kamekuwa kadogo kinyume na matarajio kwa hiyo Prof anatishia kumega the Lion share ya Supreme leader?
 
Nyie mmempa Kubenea ubunge ?
Acha unafiki,tuliompa ubunge ni sisi na sio nyie na atawashughulikia pamoja na baba zenu magamba.
Taarifa haijitoshelezi!! Anataka kumpindua nini? Na tangu lini gazeti la Mawio ikaandika habari njema za Zitto? Kubenea acha siasa chafu, tumekupa ubunge ufanye kazi--punguza majungu na usianze kushambulia watu makini. Pambana na CCM na sio Zitto
 
Gazeti la Mawio la leo tarehe 12/11/2015 limeripoti kuwa kuna sintofahamu kubwa ndani ya chama cha ACT-wazalendo...inaelezwa kuwa Zitto anataka kumpindua Prof kitila Mkumbo kutokana na kinachoelezwa kuwa ni kuhujumiana kati yao ndani ya chama.
Nadhani imeandikwa anataka kumpindua Samson Mwigamba...Na si Prof. Kitila Mkumbo
 
Taarifa haijitoshelezi!! Anataka kumpindua nini? Na tangu lini gazeti la Mawio ikaandika habari njema za Zitto? Kubenea acha siasa chafu, tumekupa ubunge ufanye kazi--punguza majungu na usianze kushambulia watu makini. Pambana na CCM na sio Zitto


Ww jinsi unavyopresent ni dhahir hata kura huwezi mpa mtu makini kama Kubenea.
 
Huu ndio uwezo wetu wa tz badala ya kudili na mfumo tunaendekeza ushambenga wa kumfuatilia mtu kwa jambo lisilo na mshiko.tutegemee bunge litakalosheheni miongozo zaidi shida za wananchi kidogo
 
Mgogoro wa ACT ni jambo ambalo halikwepeki.

Wadhifa wa kiongozi mkuu umekuwa kikwazo kikubwa kwa mpenda sifaa Zitto Kabwe anataka cheo cha Mwenyekiti wa chama Mama Anna kafanya kazi kubwa na nzuri ya kukitangaza chama wana mipango ya usaliti hawakutarajia hayo sasa wanataka kumweka kando baadhi ya wanachama na wapenzi wa ACT hawakubali ujinga huo.Kazi ndio imeanza sasa mpaka kufika mwakani April Mama lazima atemeshwe mzigo na mwenye chama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom