BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Gazeti la Mawio la leo tarehe 12/11/2015 limeripoti kuwa kuna sintofahamu kubwa ndani ya chama cha ACT-wazalendo...inaelezwa kuwa Zitto anataka kumpindua Samsoni Mwigamba.
Uchunguzi unaonyesha kuwa mapinduzi hayo, katika uongozi yanapaswa kukamilika ndani ya miezi minne kutoka sasa.
Uchunguzi unaonyesha kuwa mapinduzi hayo, katika uongozi yanapaswa kukamilika ndani ya miezi minne kutoka sasa.