Mgimwa punguza matumizi ya dola za marekani

Moony

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
1,599
435
Thamani ya shilingi haipo tena kwani fedha halali sasa ni dola. Kuanzia pango, mishahara, nguo, dawa na mambo mengine.
Kila kona kuna bureau de change. Si vibaya. Ukienda kufanya kazi katika nchi za wenzetu jirani kama Botswana Unaambiwa mshahara ni Dola kadhaa ila utalipwa kwa local currency lakini hapa sivyo.
Nyumba hadi leo pango ni dola tu na serikali haisemi lolote kwa sababu wahusika ni hao hao tu. Sijui kama wenye nyumba hawa wanailipa TRA dola pia.
Sasa bila kudhibiti huu mfumo usijidanganye hata siku moja kumrahisishia mtanzania wa kawaida maisha.

Hebu liangalie hili. Punguza mzunguko wa hii dola isitumike kabisa katika transactions ili watu tupate nafuu.
 
hii kitu inaniuma sana...nipo nchini kwangu lakini naenda dukani naambiwa hicho kitu flani dola 70 jamani tunatawaliwa kiasi hicho??.... na mishahara nayo kila mtu anataka kulipwa in dollars...ndio maana kuna mfumuko wa bei kwa sababu thamani ya hela yetu ya kimachinga against the dollar inazidi kushuka. Ukitafuta nyumba ya kupanga mwenye nyumba anakuambia kabisa kua hii nyumba dollar 1000 na nataka unilipe kwa dollars sitaki shillings...kweli niko tanzania na mtanzania mwenzangu ananiambia nimlipe dollar au niishie??!!
 
Haswaaaa wahindi wauza Computers huku jijini dar!unkuta bila wasiwasi wameandika USD 800,tena BOLDED hata aibu hawana!
 
Yaani bila KUACHA , sio kupunguza matumizi ya dola kila siku tutashuhudia mfumuko wa bei, na bila KUIDHIBITI DOLA na KUISHUSHA chini dola basi hakuna nafuu ya maisha Tanzania, kila upande dola, kila kitu dola.

Na kama dola itazidi kuwa hapo ilipo basi hakuna unafuu wowote utakaopatikana kwa Mtanzania, nashangaa sana kuona Dola imefika hapa ilipo na sasa imestabilize, kwanini sio tokea huko zamani.

Tunajua benki ambazo zimekuwa vinara wa kuipaisha dola na mpaka mwaka jana zilipotolewa katika exchange market ndio dola imestabilize. kwanini haya yasifanywe tokea huko nyuma yameachwa mpaka dola kufika hapa ilipofika.

Nadhani Mgimwa kitu cha kwanza anatakiwa kukifanya ni KUIRUDISHA DOLA CHINI, baada ya hapo vitu vingine vifuate kama kuweka SHERIA KALI za matumizi ya dola nchini. hapo anaweza kujitahidi. tatizo kubwa ni matumizi ya dola
 
Yaani bila KUACHA , sio kupunguza matumizi ya dola kila siku tutashuhudia mfumuko wa bei, na bila KUIDHIBITI DOLA na KUISHUSHA chini dola basi hakuna nafuu ya maisha Tanzania, kila upande dola, kila kitu dola.

Na kama dola itazidi kuwa hapo ilipo basi hakuna unafuu wowote utakaopatikana kwa Mtanzania, nashangaa sana kuona Dola imefika hapa ilipo na sasa imestabilize, kwanini sio tokea huko zamani.

Tunajua benki ambazo zimekuwa vinara wa kuipaisha dola na mpaka mwaka jana zilipotolewa katika exchange market ndio dola imestabilize. kwanini haya yasifanywe tokea huko nyuma yameachwa mpaka dola kufika hapa ilipofika.

Nadhani Mgimwa kitu cha kwanza anatakiwa kukifanya ni KUIRUDISHA DOLA CHINI, baada ya hapo vitu vingine vifuate kama kuweka SHERIA KALI za matumizi ya dola nchini. hapo anaweza kujitahidi. tatizo kubwa ni matumizi ya dola

Labda aongee vizuri na Benno
 
hata sie tunaoishi vijijini siku tukija mjini tutashindwa kununua bidhaa ktk maduka ya
wahindi kisa dolla.
 
Mgimwa kama ana nia ya kunusuru uchumi wa nchi hii anatakiwa aangalie haya:

1.TRA - afumue uongozi wote wa juu kwa kuweka watu wapya, (aangalie NHC na Mchechu), na pia abadilishe usanii wa TRA kujipangia kiwango cha ukusanyaji mapato kwa mwaka, badala yake another authority ndiyo itoe maelekezo. Kwa sasa TRA ni sawa na judge & jury at the same time.

2. Misamaha ya kodi; Hapa aanzie TIC. apatie list yote ya TIC members na ajiridhishe kuwa wanastahili kuwepo kwenye list ya msamaha ya kodi.

3. Telecommunications: Safaricom Kenya ndio walipaji number 1 wa kodi. Ukiangalia number ya wateja wa Safaricom haipishani kwa mbali sana na Vodacom. Na pia Tanzania wana-spend sana kwenye simu. Sasa kwanini Vodacom hawapo kwenye top 15 companies zinazoongoza kwa kulipa kodi?

4. Capital outflow: Tofauti na huko nyuma kwa sasa karibu international bank zote kubwa zina representation hapa Tanzania. Iwekwe sheria inayosema kampuni yoyote inayowekeza Tanzania ni sharti wafungue account hapa nchini. Mfano mzuri ni Barrick. Uti wa mgongo wa Barrick ni migodi ya Tanzania, lakini acccount zao ziko South Africa na wanafanya malipo toka South Africa! Huu ni uhuni usiokubalika.

Sambamba na hili Hazina ifanye kazi kwa karibu zaidi na BOT kushusha kiwango anachoruhusiwa mtu wa nje kutoa nchini. Aangalie Misri wanavyothibiti usafirishaji wa hela nje ya nchi.

5. Ongeza kodi kwa bidhaa zinazotoka nje ambazo zinapatikana hapa nchini ili kulinda viwanda. e.g mafuta ya kupikia.

6. Cash. Hapa ndipo penye kasheshe. Waajiriwa wengi sana wanalipwa cash na inakuwa rahisi sana kukwepa kodi. Kwa sasa hili liko zaidi kwenye private sector ambapo mtu ameajiri wafanyakazi (hata kama ni 3) na mwisho wa mwezi wanalipwa cash!

7. Aanngalie uwezakano wa kupunguza 'income tax' lakini apanue wigo kwa kuhakikisha kuna mfumo mzuri wa kuingiza watu wengi kwenye tax payer's list.

8. Wizara sasa ianzishe mfumo (i.e.kitengo) kutoa projections/demand kiasi cha mapato kinachotakiwa toka kwenye sector muhimu (kama nilivyopendekeza No 1). Kwa mfano utalii waaambiwe tunakata 2012/13 ulete kiasi fulani, uvuvi kiasi fulani. Nchi hii ina wasomi wazuri wanaoweza ku-study na kutoa projections zinazoeleweka. Huu mtindo wa kuwaachia mawaziri wafanye kazi kama hobby ndio unaomfanya mtu kama Dr. Mathayo afikiri kazi ya wizara yake ya uvuvi ni kuchuma nyavu/makorokoro!

Tuliona wakati wa Magufuli ni jinsi gani uvuvi una hela. Na kwa hakika watu kama Dr Mathayo wanahitaji 'pressure' toka kwenye chombo kingine ili wafikirie sawasawa. Hivyo kwa kuweka mfumo (toka hazina) wa kuwaambia wizara zinatakiwa zilete kiasi gani watu watachangamsha akili.

9. Bahati na sibu za makampuni ya simu - wanalipa kodi? Zawadi (cash) zinatolewa zinakatwa kodi?

10. Inflation iliyopo ni 'structural'. Bidhaa zipo lakini watu hawana hela. Warudi kwenye drawing table na waanze ku-address hili tatizo. Pia kuanzia sasa BOT ianze kuwa na hazina ya gold. Ni utani usiokubalika hata chembe kwamba Tanzania tunachimba gold lakini BOT wanakenua meno! Na ndege zote zinazosafirisha gold zitoke DAR. Wakubwa wa madini wapande ungo, ngalawa, or whatever, lakini safari yoyote inayohusisha usafirishaji wa gold nje ya nchi lazima ianzie DAR.
 
Mgimwa kama ana nia ya kunusuru uchumi wa nchi hii anatakiwa aangalie haya:

1.TRA - afumue uongozi wote wa juu kwa kuweka watu wapya, (aangalie NHC na Mchechu), na pia abadilishe usanii wa TRA kujipangia kiwango cha ukusanyaji mapato kwa mwaka, badala yake another authority ndiyo itoe maelekezo. Kwa sasa TRA ni sawa na judge & jury at the same time.
2. Misamaha ya kodi; Hapa aanzie TIC. apatie list yote ya TIC members na ajiridhishe kuwa wanastahili kuwepo kwenye list ya msamaha ya kodi.

3. Telecommunications: Safaricom Kenya ndio walipaji number 1 wa kodi. Ukiangalia number ya wateja wa Safaricom haipishani kwa mbali sana na Vodacom. Na pia Tanzania wana-spend sana kwenye simu. Sasa kwanini Vodacom hawapo kwenye top 15 companies zinazoongoza kwa kulipa kodi?

4. Capital outflow: Tofauti na huko nyuma kwa sasa karibu international bank zote kubwa zina representation hapa Tanzania. Iwekwe sheria inayosema kampuni yoyote inayowekeza Tanzania ni sharti wafungue account hapa nchini. Mfano mzuri ni Barrick. Uti wa mgongo wa Barrick ni migodi ya Tanzania, lakini acccount zao ziko South Africa na wanafanya malipo toka South Africa! Huu ni uhuni usiokubalika.

Sambamba na hili Hazina ifanye kazi kwa karibu zaidi na BOT kushusha kiwango anachoruhusiwa mtu wa nje kutoa nchini. Aangalie Misri wanavyothibiti usafirishaji wa hela nje ya nchi.

5. Ongeza kodi kwa bidhaa zinazotoka nje ambazo zinapatikana hapa nchini ili kulinda viwanda. e.g mafuta ya kupikia.

6. Cash. Hapa ndipo penye kasheshe. Waajiriwa wengi sana wanalipwa cash na inakuwa rahisi sana kukwepa kodi. Kwa sasa hili liko zaidi kwenye private sector ambapo mtu ameajiri wafanyakazi (hata kama ni 3) na mwisho wa mwezi wanalipwa cash!

7. Aanngalie uwezakano wa kupunguza 'income tax' lakini apanue wigo kwa kuhakikisha kuna mfumo mzuri wa kuingiza watu wengi kwenye tax payer's list.

8. Wizara sasa ianzishe mfumo (i.e.kitengo) kutoa projections/demand kiasi cha mapato kinachotakiwa toka kwenye sector muhimu (kama nilivyopendekeza No 1). Kwa mfano utalii waaambiwe tunakata 2012/13 ulete kiasi fulani, uvuvi kiasi fulani. Nchi hii ina wasomi wazuri wanaoweza ku-study na kutoa projections zinazoeleweka. Huu mtindo wa kuwaachia mawaziri wafanye kazi kama hobby ndio unaomfanya mtu kama Dr. Mathayo afikiri kazi ya wizara yake ya uvuvi ni kuchuma nyavu/makorokoro!

Tuliona wakati wa Magufuli ni jinsi gani uvuvi una hela. Na kwa hakika watu kama Dr Mathayo wanahitaji 'pressure' toka kwenye chombo kingine ili wafikirie sawasawa. Hivyo kwa kuweka mfumo (toka hazina) wa kuwaambia wizara zinatakiwa zilete kiasi gani watu watachangamsha akili.

9. Bahati na sibu za makampuni ya simu - wanalipa kodi? Zawadi (cash) zinatolewa zinakatwa kodi?

10. Inflation iliyopo ni 'structural'. Bidhaa zipo lakini watu hawana hela. Warudi kwenye drawing table na waanze ku-address hili tatizo. Pia kuanzia sasa BOT ianze kuwa na hazina ya gold. Ni utani usiokubalika hata chembe kwamba Tanzania tunachimba gold lakini BOT wanakenua meno! Na ndege zote zinazosafirisha gold zitoke DAR. Wakubwa wa madini wapande ungo, ngalawa, or whatever, lakini safari yoyote inayohusisha usafirishaji wa gold nje ya nchi lazima ianzie DAR.

Wana JF haya ndiyo mawazo mtambuka.
Kila mtu kwa uwezo wake achangie tukigusa kila wizara ili tuwafungue macho mawaziri ama serikali yetu.
Tusirushe lawama kwani pengine kweli HAWAJUI.
LET US MAKE A FACE LIFTON THIS FORUM. Tusikalie utando na Cv issues.
Long Live Tanzania!!!!!!
:peace:
 
kwa wanofanya kazi nje wala hawapendi kusikia hichi kilio, maana mtu ananegotiate kazi ya nje huku akipiga mahesabu ya faida ya exchange rate,
sio siri lakini kwa watu wa ndani hii mambo ya Dollar inaumiza sana
 
Mgimwa kama ana nia ya kunusuru uchumi wa nchi hii anatakiwa aangalie haya:

1.TRA - afumue uongozi wote wa juu kwa kuweka watu wapya, (aangalie NHC na Mchechu), na pia abadilishe usanii wa TRA kujipangia kiwango cha ukusanyaji mapato kwa mwaka, badala yake another authority ndiyo itoe maelekezo. Kwa sasa TRA ni sawa na judge & jury at the same time.

2. Misamaha ya kodi; Hapa aanzie TIC. apatie list yote ya TIC members na ajiridhishe kuwa wanastahili kuwepo kwenye list ya msamaha ya kodi.

3. Telecommunications: Safaricom Kenya ndio walipaji number 1 wa kodi. Ukiangalia number ya wateja wa Safaricom haipishani kwa mbali sana na Vodacom. Na pia Tanzania wana-spend sana kwenye simu. Sasa kwanini Vodacom hawapo kwenye top 15 companies zinazoongoza kwa kulipa kodi?

4. Capital outflow: Tofauti na huko nyuma kwa sasa karibu international bank zote kubwa zina representation hapa Tanzania. Iwekwe sheria inayosema kampuni yoyote inayowekeza Tanzania ni sharti wafungue account hapa nchini. Mfano mzuri ni Barrick. Uti wa mgongo wa Barrick ni migodi ya Tanzania, lakini acccount zao ziko South Africa na wanafanya malipo toka South Africa! Huu ni uhuni usiokubalika.

Sambamba na hili Hazina ifanye kazi kwa karibu zaidi na BOT kushusha kiwango anachoruhusiwa mtu wa nje kutoa nchini. Aangalie Misri wanavyothibiti usafirishaji wa hela nje ya nchi.

5. Ongeza kodi kwa bidhaa zinazotoka nje ambazo zinapatikana hapa nchini ili kulinda viwanda. e.g mafuta ya kupikia.

6. Cash. Hapa ndipo penye kasheshe. Waajiriwa wengi sana wanalipwa cash na inakuwa rahisi sana kukwepa kodi. Kwa sasa hili liko zaidi kwenye private sector ambapo mtu ameajiri wafanyakazi (hata kama ni 3) na mwisho wa mwezi wanalipwa cash!

7. Aanngalie uwezakano wa kupunguza 'income tax' lakini apanue wigo kwa kuhakikisha kuna mfumo mzuri wa kuingiza watu wengi kwenye tax payer's list.

8. Wizara sasa ianzishe mfumo (i.e.kitengo) kutoa projections/demand kiasi cha mapato kinachotakiwa toka kwenye sector muhimu (kama nilivyopendekeza No 1). Kwa mfano utalii waaambiwe tunakata 2012/13 ulete kiasi fulani, uvuvi kiasi fulani. Nchi hii ina wasomi wazuri wanaoweza ku-study na kutoa projections zinazoeleweka. Huu mtindo wa kuwaachia mawaziri wafanye kazi kama hobby ndio unaomfanya mtu kama Dr. Mathayo afikiri kazi ya wizara yake ya uvuvi ni kuchuma nyavu/makorokoro!

Tuliona wakati wa Magufuli ni jinsi gani uvuvi una hela. Na kwa hakika watu kama Dr Mathayo wanahitaji 'pressure' toka kwenye chombo kingine ili wafikirie sawasawa. Hivyo kwa kuweka mfumo (toka hazina) wa kuwaambia wizara zinatakiwa zilete kiasi gani watu watachangamsha akili.

9. Bahati na sibu za makampuni ya simu - wanalipa kodi? Zawadi (cash) zinatolewa zinakatwa kodi?

10. Inflation iliyopo ni 'structural'. Bidhaa zipo lakini watu hawana hela. Warudi kwenye drawing table na waanze ku-address hili tatizo. Pia kuanzia sasa BOT ianze kuwa na hazina ya gold. Ni utani usiokubalika hata chembe kwamba Tanzania tunachimba gold lakini BOT wanakenua meno! Na ndege zote zinazosafirisha gold zitoke DAR. Wakubwa wa madini wapande ungo, ngalawa, or whatever, lakini safari yoyote inayohusisha usafirishaji wa gold nje ya nchi lazima ianzie DAR.

I love JF!..........Excellent points.....Mkuu FJM.......nasubiri mchango wa Mdondoaji........Mkuu Mdondoaji kokote ulipo please.........
 
Mgimwa kama ana nia ya kunusuru uchumi wa nchi hii anatakiwa aangalie haya:

1.TRA - afumue uongozi wote wa juu kwa kuweka watu wapya, (aangalie NHC na Mchechu), na pia abadilishe usanii wa TRA kujipangia kiwango cha ukusanyaji mapato kwa mwaka, badala yake another authority ndiyo itoe maelekezo. Kwa sasa TRA ni sawa na judge & jury at the same time.

2. Misamaha ya kodi; Hapa aanzie TIC. apatie list yote ya TIC members na ajiridhishe kuwa wanastahili kuwepo kwenye list ya msamaha ya kodi.

3. Telecommunications: Safaricom Kenya ndio walipaji number 1 wa kodi. Ukiangalia number ya wateja wa Safaricom haipishani kwa mbali sana na Vodacom. Na pia Tanzania wana-spend sana kwenye simu. Sasa kwanini Vodacom hawapo kwenye top 15 companies zinazoongoza kwa kulipa kodi?

4. Capital outflow: Tofauti na huko nyuma kwa sasa karibu international bank zote kubwa zina representation hapa Tanzania. Iwekwe sheria inayosema kampuni yoyote inayowekeza Tanzania ni sharti wafungue account hapa nchini. Mfano mzuri ni Barrick. Uti wa mgongo wa Barrick ni migodi ya Tanzania, lakini acccount zao ziko South Africa na wanafanya malipo toka South Africa! Huu ni uhuni usiokubalika.

Sambamba na hili Hazina ifanye kazi kwa karibu zaidi na BOT kushusha kiwango anachoruhusiwa mtu wa nje kutoa nchini. Aangalie Misri wanavyothibiti usafirishaji wa hela nje ya nchi.

5. Ongeza kodi kwa bidhaa zinazotoka nje ambazo zinapatikana hapa nchini ili kulinda viwanda. e.g mafuta ya kupikia.

6. Cash. Hapa ndipo penye kasheshe. Waajiriwa wengi sana wanalipwa cash na inakuwa rahisi sana kukwepa kodi. Kwa sasa hili liko zaidi kwenye private sector ambapo mtu ameajiri wafanyakazi (hata kama ni 3) na mwisho wa mwezi wanalipwa cash!

7. Aanngalie uwezakano wa kupunguza 'income tax' lakini apanue wigo kwa kuhakikisha kuna mfumo mzuri wa kuingiza watu wengi kwenye tax payer's list.

8. Wizara sasa ianzishe mfumo (i.e.kitengo) kutoa projections/demand kiasi cha mapato kinachotakiwa toka kwenye sector muhimu (kama nilivyopendekeza No 1). Kwa mfano utalii waaambiwe tunakata 2012/13 ulete kiasi fulani, uvuvi kiasi fulani. Nchi hii ina wasomi wazuri wanaoweza ku-study na kutoa projections zinazoeleweka. Huu mtindo wa kuwaachia mawaziri wafanye kazi kama hobby ndio unaomfanya mtu kama Dr. Mathayo afikiri kazi ya wizara yake ya uvuvi ni kuchuma nyavu/makorokoro!

Tuliona wakati wa Magufuli ni jinsi gani uvuvi una hela. Na kwa hakika watu kama Dr Mathayo wanahitaji 'pressure' toka kwenye chombo kingine ili wafikirie sawasawa. Hivyo kwa kuweka mfumo (toka hazina) wa kuwaambia wizara zinatakiwa zilete kiasi gani watu watachangamsha akili.

9. Bahati na sibu za makampuni ya simu - wanalipa kodi? Zawadi (cash) zinatolewa zinakatwa kodi?

10. Inflation iliyopo ni 'structural'. Bidhaa zipo lakini watu hawana hela. Warudi kwenye drawing table na waanze ku-address hili tatizo. Pia kuanzia sasa BOT ianze kuwa na hazina ya gold. Ni utani usiokubalika hata chembe kwamba Tanzania tunachimba gold lakini BOT wanakenua meno! Na ndege zote zinazosafirisha gold zitoke DAR. Wakubwa wa madini wapande ungo, ngalawa, or whatever, lakini safari yoyote inayohusisha usafirishaji wa gold nje ya nchi lazima ianzie DAR.

Mkuu FJM hapo penye misamaha kwa kweli ndipo angeanza napo, ikiwezekana budget ijayo ifumue hiyo misamaha upya kwa sababu utakuta investor anaenjoy misamaha mpaka zaidi ya miaka mitano hivi ndani ya hiyo miaka 5 bado hajarudisha huo mtaji?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Mfumo huo unaitwa "Dollar Imperialism", ni kasehemu kadogo kakini nyeti sana, inafungua mianya ya un-exchange kati ya rasilimali zetu na upuuzi wao, mbaya zaidi inajenga "inferiority complex" kwetu ili tuendelee kuwasujudu ili waibe! Ni wapuuzi wazungu hao, ambao tunapokea kila kilichochao, bila kuhoji! Na ni msingi mmoja wapo wa Demokrasia mnayoipigania, hiyo dollar!
Huwezi kuididimiza dollar nchini kwa kuhangaika na shilingi yetu, NEVER. Mbali na uchumi, dollar imperialism inajikita ndani ya siasa na hata tamaduni zetu!
Mungu wetu anaita!
 
I love JF!..........Excellent points.....Mkuu FJM.......nasubiri mchango wa Mdondoaji........Mkuu Mdondoaji kokote ulipo please.........

Mkuu,

Niko busy siku hizi napata muda mchache kupitia ila tatizo la dollarisation nimekuwa nalipigia kelele miaka mingi hadi nimechoka naona bora vitu vichanganyike tuuumie sote. Dollarisation ya Tanzania inasababishwa na kiasi kikubwa sana cha demand ya foreign currency nchini. Vipi demand ya foreign currency hii inatokana na nyanja kuu mbili:-
a. Excessive importation of foreign goods nchini.

b. High level of foreign currencies transaction nchini (legally and in a black market).

Excessive importation of foreign products:-
Tunaimport vitu vingi sana nchini na bubble hii imeanza tangu kipindi cha Mwinyi a.k.a mzee ruksa. Hata hivyo importation ya wakati ule haikuwa na effect sana. Sasa hivi tunaimport mpaka tunaua viwanda vyetu wenyewe. Our deficit was expanding higher than the level of inflation (before inflation started to shoot to double digit later years 2010-2012). Sasa madhara ya sisi kuimport kila kitu mpaka vitu ambavyo wakulima na wazalishaji wetu wanazalisha ni kwamba tunaongeza mahitaji ya fedha za kigeni. Vile vile mfumuko wa bei ya mafuta umechangia kupanda kwa mahitaji ya dola na kupandisha thamani ya dola wakati shillingi yetu ikiporomoka.

Excessive foreign currencies transactions:
Hilo sina muda sana wa kuliongolea ila FJM na Mtoa ameshaliongelea but labda kwa ufupi ni kwamba dollar sasa hivi nchini ndio fedha halali ya malipo ya huduma (badala ya shillingi yetu). Sasa kuanzia hapo ndio matatizo yanaanza kwani demand ya dollar inaongezeka kwa vile ndio fedha inayoaminiwa kuliko shillingi. Serikali yetu imejifanya kiziwi hailioni but hilo janga na ndio linalosukuma kuporomoka kwa shillingi kila siku.

Solution:
Simple solution:
Wanaweza wizara ya fedha kwa kutumia fiscal policy wakapiga marufuku matumizi ya dollar kwenye local transactions. Kuanzia transactions za majengo, ada za shule, umeme kila kitu kilipiwe in Tshs na sio dollar au Euro. Hilo litaongeza thamani ya Shillingi ya Tanzania.

Tunaweza kuanza kukusanya dhahabu na kuziweka for the purpose ya kuziuza ili kuongeza thamani ya sarafu.

Vile vile kwa kutumia fiscal policy wanaweza kuingiza import duties, levies and tax kwa importation goods while hela tunayopata kule serikali inaweza kuwa inatoa subsidies kwa local manufacturers (kama Brazil wanavyofanya hukuti Kellogs Cornflakes inatamba mostly ni local cornflakes but here in Tanzania is vice versa).

Serikali ipanue wigo wa kodi hasa kwenye majengo, sekta za kujiajiri, madini ili kuongeza pato la nchi.


Tough solution:
Relaxation of monetary policies particularly lowering of interest rate katika mikopo hasa ya wazalishaji wadogo wadogo. Hilo linaweza kuchochea uzalishaji hasa kwa wazalishaji wadogo wadogo

Serikali iache kukopa katika mabenki na kupunguza deni lake ili thamani ya sarafu ipande. Kuna uhusiano wa karibu baina ya sarafu ya nchi na deni la nchi. Nchi ikiilemewa na madeni basi na sarafu nayo inaporomoka (mfano Euro na Greece Debt).
 
One more point nayo ni ufisadi na capital fleet imechangia kuwepo kwa kuporomoka kwa sarafu yetu. Hili ni jukumu la serikali yote kuanzia rais kulivalia njuga if they are serious of saving the Shilling.

Hatahivyo mkuu Ogah kuna mtu anayasikiliza makelele yetu ya dollarisation??? Who are the beneficiaries of that dollarisation jibu nafikiri unalo mkuu. Nilikuwapo!!!
 
Back
Top Bottom