Mkuu samahani kwa hilo,halikuwa lengo langu,lengo langu ilikuwa ni kufahamishana tu mtu unatumia utaalamu gani kumfanya atoke humo chumbani bila kuumizana.
Mkuu samahani kwa hilo,halikuwa lengo langu,lengo langu ilikuwa ni kufahamishana tu mtu unatumia utaalamu gani kumfanya atoke humo chumbani bila kuumizana.
dawa mrushie nyama iliyo kwenye fridge, wakati anaila we unasepa.lakini ukisema ukimbie bila plan atakukamata tu,anambio mara 3 yako.na akikukamata baada ya kukimbia atakumaliza kirahisi coz utakua tayari pumzi imekuishia
Hilo ndio jibu lake, na vilevile kama una pombe kali yeyote kama whysky au brandy ya aina yeyote ukiimwaga hata isipomfikia akiisikia tu harufu yake mbio zake ukichelewa hapo mlangoni atakupitia.