prickle
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 292
- 425
Habari za muda Huu wakuu poleni Na shida zote mnazokumbana nazo katika kutafuta Mkate wa kila Siku bila kuchelewa niende kwenye Mada Husika...!
Zamani ilikuwa Mgeni akija Nyumbani kwako Unampa/Atakuomba albamu ya picha lakini sasa hivi Mgeni akija Nyumbani cha kwanza atakuomba/ ataulizia Chaji ya Simu wageni wangu wa karne hii Ni Chaji ya simu Je, wewe Mgeni akija kwako kitu gani cha kwanza atakuomba.?
Zamani ilikuwa Mgeni akija Nyumbani kwako Unampa/Atakuomba albamu ya picha lakini sasa hivi Mgeni akija Nyumbani cha kwanza atakuomba/ ataulizia Chaji ya Simu wageni wangu wa karne hii Ni Chaji ya simu Je, wewe Mgeni akija kwako kitu gani cha kwanza atakuomba.?