Mgawanyo wa majimbo Dar es Salaam

mkigoma

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
1,180
309
CHADEMA

Ubungo
Kawe
Segerea
Ukonga

CUF

Kinondoni
Kigamboni
Temeke
Ilala

Haki bin haki asiyekubaliana na mgawanyo huo anatafuta UKAWA uvunjike.
 
Kwa maeneo haya kwa Chadema sina tatizo,nakumbuka tulivompiga Makongoro akakimbia na maboksi.huku Ukongo pia uchaguzi wa S/M tumewapa za uso.iko wapi nafasi ya NSSR
 
CHADEMA

Ubungo
Kawe
Segerea
Ukonga

CUF

Kinondoni
Kigamboni
Temeke
Ilala

Haki bin haki asiyekubaliana na mgawanyo huo anatafuta UKAWA uvunjike.
UKAWA ni CHADEMA na CUF peke yao? Ushirika mzuri ni kuangaliana wote mwende pamoja, sasa hapo NCCR na NLD wametupwa kabisa. Ina maana hawana nguvu hata kidogo hapa DSM?
 
UKAWA ni CHADEMA na CUF peke yao? Ushirika mzuri ni kuangaliana wote mwende pamoja, sasa hapo NCCR na NLD wametupwa kabisa. Ina maana hawana nguvu hata kidogo hapa DSM?
hata kama hawana nguvu,la msingi wapewe nafasi na waweke mgombea "hatari" na aungwe mkono
 
Back
Top Bottom